Hongera Azam kwa kuanza kuonesha Ligi ya Kenya mtafika mbali. Commentator awe na lafudhi yao kama DJ Afro

Hongera Azam kwa kuanza kuonesha Ligi ya Kenya mtafika mbali. Commentator awe na lafudhi yao kama DJ Afro

KENGE 01

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
1,705
Reaction score
4,217
Sote tunajua juhudi zinazofanywa/zilizofanywa na Azam kwa ujumla. Nipo nchini burundi kisumbusi chao pendwa ni Azam na sasa Azam imeingia Kenya kwa Ruto kwa kasi ya ajabu.

Ligi ya Kenya ni nzuri sana tena pengine zaidi ya NBC PL kama watapata muamko wa kushabikia team zao naamini watatuacha mbali sana tena sana.

Sasa msiache kutuwekea mtangazaji mwenye lafudhi ya kikenya kama DJ Afro mechi itakua na mzuka sana, imagine commentator kama DJ Afro.

".....Sijui Mambo gani ako anafanya Omera..Onyango anapatia pasi Ogutu..Odhiambo anakwendaa paleeee..anapita kameta kama Stima vile inawaka kwa nyumba...Tonui anapress kwa ololo washalalaaaa chekshia manenoooo GOOOOOOO........"

Anyway sijajua wataweka Commentator wa lugha gani lakini mkiweka mwenye Kiswahili fasaha cha Tanzania kama kina Mpenja itakua hainogi kama mkiweka Wakenya wakenya wenyewe.

Kisimbuzi kinachoongoza KE kwasasa ni DSTV lakini wao wamekua wakilalamika juu ya bei kubwa ya vifurushi kwani kifurushi cha chini ni 3500/ ksh (60k Tsh).

Vilevile Startimes ni ya hukohuko kwao lakini hii aiwezi kuwasumbua. Kwanza startimes washenzi sana kwenye matangazo wanakwambia wanaonesha na EPL lakini ukilipia ndo unajua kuwa ni wapigaji si bora Azam kuna baadhi ya mechi za EPL wanaonesha ila kwa siri sana kwani ni kinyume na sheria kabsaa

Sasa mnapambana na miamba DSTV ambao wanaonesha ligi kama 5+ za Africa+EPL,UCL na zote Ulaya na juzi waliongeza ligi ya Ethiopia wanaonesha South Africa PL, Ghana, Egypt n.k.

Ushauri mwingine wa ziada wahini kununua Kibali cha Ligi ya Uarabuni kwasababu msimu ujao Messi lazima aende huko kwa hiyo Media lazima zioneshe Ligi hiyo yenye Ronaldo na Messi na Pitso Mosimane na team yake. Hakika ligi ya Saudi Arabia itaongezeka mvuto na vibali vitakua juu sana kwa wateja wapya.

Once again, hongera sana Azam licha ya kuwa mnapigwa sana vita hapa nyumbani (Hasa hapahapa JF) akini hayo hayajawatoa relini na kuzidi kuchapa kazi.
 
Sote tunajua juhudi zinazofanywa/Zilizofanywa na AZAM kwa ujumla.Nipo nchini burundi king'amuzi chao pendwa ni AZAM na sasa Azam imeingia KENYA kwa Ruto kwa kasi ya ajabu.

Ligi ya Kenya ni nzuri sana tena pengine zaidi ya NBC PL kama watapata muamko wa kushabikia team zao naamini watatuacha mbali sana tena sana

Sasa msiache kutuwekea mtangazaji mwenye lafudhi ya kikenya kama DJ Afro mechi itakua na mzuka sana..imagine commentator kama DJ Afro

".....Sijui Mambo gani ako anafanya Omera..Onyango anapatia pasi Ogutu..Odhiambo anakwendaa paleeee..anapita kameta kama Stima vile inawaka kwa nyumba...Tonui anapress kwa ololo washalalaaaa chekshia manenoooo GOOOOOOO........"

Anyway sijajua wataweka Commentator wa lugha gani lakini mkiweka mwenye kiswahili fasaha cha TZ kama kina Mpenja itakua hainogi kama mkiweka wakenya wakenya wenyewe

King'amuzi kinachoongoza KE kwasasa ni DSTV lakini wao wamekua wakilalamika juu ya bei kubwa ya vifurushi kwani kifurushi cha chini ni 3500/ ksh (60k Tsh)

Vilevile Startimes ni ya hukohuko kwao lakini hii aiwezi kuwasumbua.Kwanza startimes washenzi sana kwenye matangazo wanakwambia wanaonesha na EPL lakini ukilipia ndo unajua kuwa ni wapigaji si bora Azam kuna baadhi ya mechi za EPL wanaonesha ila kwa siri sana kwani ni kinyume na sheria kabsaa

Sasa mnapambana na miamba DSTV ambao wanaonesha ligi kama 5+ za Africa+EPL,UCL na zote ulaya na juzi waliongeza ligi ya Ethiopia wanaonesha S.Africa PL,Ghana,Egypt n.k

Ushauri mwingine wa ziada wahini kununua kibali cha ligi ya uarabuni kwasababu msimu ujao Messi lazima aende huko kwahyo Media lazima zioneshe Ligi hyo yenye Ronaldo na Messi na Pitso Mosimane na team yake..hakika ligi ya saudi Arabia itaongezeka mvuto na vibali vitakua juu sana kwa wateja wapya..

Once again,Hongera sana Azam Licha ya kuwa mnapigwa sana vita hapa nyumbani(Hasa hapahapa JF)Lakini hayo hayajawatoa relini na kuzidi kuchapa kazi...!!
Kwa uandishi huu utakuwa Mkenya wewe.
Ligi ya Kenya ni kati ya ligi za ovyo kabisa katika ukanda wetu, hata Azam wafanye kitu gani hawawezi kuinyanyua ile ligi kwasababu wakenya wenyewe HAWAITAKI.
Wakenye wanaidharau mno ligi yao.
 
Kwa uandishi huu utakuwa Mkenya wewe.
Ligi ya Kenya ni kati ya ligi za ovyo kabisa katika ukanda wetu, hata Azam wafanye kitu gani hawawezi kuinyanyua ile ligi kwasababu wakenya wenyewe HAWAITAKI.
Wakenye wanaidharau mno ligi yao.
Wewe ndo utakua mgeni wa mpira sasa kwani kabla ya Azam kurusha Live mpira wa bongo ulikuaje?? Mechi kati ya Lipuli na mgambo jkt inachezwa nje uwanja wa nyamagana mwanza ulikua hovyo kabsa Nani alijivunia Ligi ya bongo nje ya (Simba na Yanga)???

Nikuhakikishie KE wanaligi nzuri mno na wachezaji wazuri mno sasa Ligi yao imeanza Kurushwa kwa HD tena Live wataipenda tu na kuwekeza huko

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Sote tunajua juhudi zinazofanywa/Zilizofanywa na AZAM kwa ujumla.Nipo nchini burundi king'amuzi chao pendwa ni AZAM na sasa Azam imeingia KENYA kwa Ruto kwa kasi ya ajabu.

Ligi ya Kenya ni nzuri sana tena pengine zaidi ya NBC PL kama watapata muamko wa kushabikia team zao naamini watatuacha mbali sana tena sana

Sasa msiache kutuwekea mtangazaji mwenye lafudhi ya kikenya kama DJ Afro mechi itakua na mzuka sana..imagine commentator kama DJ Afro

".....Sijui Mambo gani ako anafanya Omera..Onyango anapatia pasi Ogutu..Odhiambo anakwendaa paleeee..anapita kameta kama Stima vile inawaka kwa nyumba...Tonui anapress kwa ololo washalalaaaa chekshia manenoooo GOOOOOOO........"

Anyway sijajua wataweka Commentator wa lugha gani lakini mkiweka mwenye kiswahili fasaha cha TZ kama kina Mpenja itakua hainogi kama mkiweka wakenya wakenya wenyewe

King'amuzi kinachoongoza KE kwasasa ni DSTV lakini wao wamekua wakilalamika juu ya bei kubwa ya vifurushi kwani kifurushi cha chini ni 3500/ ksh (60k Tsh)

Vilevile Startimes ni ya hukohuko kwao lakini hii aiwezi kuwasumbua.Kwanza startimes washenzi sana kwenye matangazo wanakwambia wanaonesha na EPL lakini ukilipia ndo unajua kuwa ni wapigaji si bora Azam kuna baadhi ya mechi za EPL wanaonesha ila kwa siri sana kwani ni kinyume na sheria kabsaa

Sasa mnapambana na miamba DSTV ambao wanaonesha ligi kama 5+ za Africa+EPL,UCL na zote ulaya na juzi waliongeza ligi ya Ethiopia wanaonesha S.Africa PL,Ghana,Egypt n.k

Ushauri mwingine wa ziada wahini kununua kibali cha ligi ya uarabuni kwasababu msimu ujao Messi lazima aende huko kwahyo Media lazima zioneshe Ligi hyo yenye Ronaldo na Messi na Pitso Mosimane na team yake..hakika ligi ya saudi Arabia itaongezeka mvuto na vibali vitakua juu sana kwa wateja wapya..

Once again,Hongera sana Azam Licha ya kuwa mnapigwa sana vita hapa nyumbani(Hasa hapahapa JF)Lakini hayo hayajawatoa relini na kuzidi kuchapa kazi...!!
Kwa ligi hapa afrika mashariki ya kwanza Tanzania hakuna ushindani kama wa Simba na Yanga ukanda huu,,, ukija Kenya ukabila hadi kwenye mpira Gor Mahia wajaluo, leopards waluhya derby kubwa huko ndo hio mashemeji derby ambayo bado ipo mulemule kwenye ukabila,,,,, na identity ya kiustadh ya Azam inaweza kuwapa shida kwenye miji kama Nairobi kuelekea huko western, hao jamaa wako brainwashed na umagharibi vya kutosha hapo kumchomoa dstv ngumu, bora kidogo huko Pwani
 
Kwa ligi hapa afrika mashariki ya kwanza Tanzania hakuna ushindani kama wa Simba na Yanga ukanda huu,,, ukija Kenya ukabila hadi kwenye mpira Gor Mahia wajaluo, leopards waluhya derby kubwa huko ndo hio mashemeji derby ambayo bado ipo mulemule kwenye ukabila,,,,, na identity ya kiustadh ya Azam inaweza kuwapa shida kwenye miji kama Nairobi kuelekea huko western, hao jamaa wako brainwashed na umagharibi vya kutosha hapo kumchomoa dstv ngumu, bora kidogo huko Pwani
Narudia tena kwa kitendo cha ligi ya kuonesha Live HD wataipenda tu watake..wasitake...wataipenda na serikali yao wataongeza uwekezaji huko
 
Kuna jamaa amenambia kuna King'amuzi kinaitwa Canal+ kinaonyesha ligi zote na michuano yote mikubwa...nataka nikifuatilie.
Za ndani nakupa
Azam,Startimes na Dstv wakishirikiana na TCRA walikiripoti king'amuzi hiko hvyo kinapigwa vita balaa na ukikamatwa unauza faini yake hutoamini btw Canal+ wanatangaza kwa kifaransa
 
Back
Top Bottom