Hongera Azam kwa kuanza kuonesha Ligi ya Kenya mtafika mbali. Commentator awe na lafudhi yao kama DJ Afro

Hongera Azam kwa kuanza kuonesha Ligi ya Kenya mtafika mbali. Commentator awe na lafudhi yao kama DJ Afro

Sote tunajua juhudi zinazofanywa/Zilizofanywa na AZAM kwa ujumla.Nipo nchini burundi king'amuzi chao pendwa ni AZAM na sasa Azam imeingia KENYA kwa Ruto kwa kasi ya ajabu.

Ligi ya Kenya ni nzuri sana tena pengine zaidi ya NBC PL kama watapata muamko wa kushabikia team zao naamini watatuacha mbali sana tena sana

Sasa msiache kutuwekea mtangazaji mwenye lafudhi ya kikenya kama DJ Afro mechi itakua na mzuka sana..imagine commentator kama DJ Afro

".....Sijui Mambo gani ako anafanya Omera..Onyango anapatia pasi Ogutu..Odhiambo anakwendaa paleeee..anapita kameta kama Stima vile inawaka kwa nyumba...Tonui anapress kwa ololo washalalaaaa chekshia manenoooo GOOOOOOO........"

Anyway sijajua wataweka Commentator wa lugha gani lakini mkiweka mwenye kiswahili fasaha cha TZ kama kina Mpenja itakua hainogi kama mkiweka wakenya wakenya wenyewe

King'amuzi kinachoongoza KE kwasasa ni DSTV lakini wao wamekua wakilalamika juu ya bei kubwa ya vifurushi kwani kifurushi cha chini ni 3500/ ksh (60k Tsh)

Vilevile Startimes ni ya hukohuko kwao lakini hii aiwezi kuwasumbua.Kwanza startimes washenzi sana kwenye matangazo wanakwambia wanaonesha na EPL lakini ukilipia ndo unajua kuwa ni wapigaji si bora Azam kuna baadhi ya mechi za EPL wanaonesha ila kwa siri sana kwani ni kinyume na sheria kabsaa

Sasa mnapambana na miamba DSTV ambao wanaonesha ligi kama 5+ za Africa+EPL,UCL na zote ulaya na juzi waliongeza ligi ya Ethiopia wanaonesha S.Africa PL,Ghana,Egypt n.k

Ushauri mwingine wa ziada wahini kununua kibali cha ligi ya uarabuni kwasababu msimu ujao Messi lazima aende huko kwahyo Media lazima zioneshe Ligi hyo yenye Ronaldo na Messi na Pitso Mosimane na team yake..hakika ligi ya saudi Arabia itaongezeka mvuto na vibali vitakua juu sana kwa wateja wapya..

Once again,Hongera sana Azam Licha ya kuwa mnapigwa sana vita hapa nyumbani(Hasa hapahapa JF)Lakini hayo hayajawatoa relini na kuzidi kuchapa kazi...!!
Azam hawaonyesh EPL kwa siri...zile mechi huwa ni za free..yan ligi ya uingereza huwa kuna mechi huwa zinaruhusiwa kurushwa free ili ku ipromote ligi yao..na ndo hizo huwa zinarushwa na azam kupitia UTV
 
Azam hawaonyesh EPL kwa siri...zile mechi huwa ni za free..yan ligi ya uingereza huwa kuna mechi huwa zinaruhusiwa kurushwa free ili ku ipromote ligi yao..na ndo hizo huwa zinarushwa na azam kupitia UTV
Kumbe!!
 
Sote tunajua juhudi zinazofanywa/Zilizofanywa na AZAM kwa ujumla.Nipo nchini burundi king'amuzi chao pendwa ni AZAM na sasa Azam imeingia KENYA kwa Ruto kwa kasi ya ajabu.

Ligi ya Kenya ni nzuri sana tena pengine zaidi ya NBC PL kama watapata muamko wa kushabikia team zao naamini watatuacha mbali sana tena sana

Sasa msiache kutuwekea mtangazaji mwenye lafudhi ya kikenya kama DJ Afro mechi itakua na mzuka sana..imagine commentator kama DJ Afro

".....Sijui Mambo gani ako anafanya Omera..Onyango anapatia pasi Ogutu..Odhiambo anakwendaa paleeee..anapita kameta kama Stima vile inawaka kwa nyumba...Tonui anapress kwa ololo washalalaaaa chekshia manenoooo GOOOOOOO........"

Anyway sijajua wataweka Commentator wa lugha gani lakini mkiweka mwenye kiswahili fasaha cha TZ kama kina Mpenja itakua hainogi kama mkiweka wakenya wakenya wenyewe

King'amuzi kinachoongoza KE kwasasa ni DSTV lakini wao wamekua wakilalamika juu ya bei kubwa ya vifurushi kwani kifurushi cha chini ni 3500/ ksh (60k Tsh)

Vilevile Startimes ni ya hukohuko kwao lakini hii aiwezi kuwasumbua.Kwanza startimes washenzi sana kwenye matangazo wanakwambia wanaonesha na EPL lakini ukilipia ndo unajua kuwa ni wapigaji si bora Azam kuna baadhi ya mechi za EPL wanaonesha ila kwa siri sana kwani ni kinyume na sheria kabsaa

Sasa mnapambana na miamba DSTV ambao wanaonesha ligi kama 5+ za Africa+EPL,UCL na zote ulaya na juzi waliongeza ligi ya Ethiopia wanaonesha S.Africa PL,Ghana,Egypt n.k

Ushauri mwingine wa ziada wahini kununua kibali cha ligi ya uarabuni kwasababu msimu ujao Messi lazima aende huko kwahyo Media lazima zioneshe Ligi hyo yenye Ronaldo na Messi na Pitso Mosimane na team yake..hakika ligi ya saudi Arabia itaongezeka mvuto na vibali vitakua juu sana kwa wateja wapya..

Once again,Hongera sana Azam Licha ya kuwa mnapigwa sana vita hapa nyumbani(Hasa hapahapa JF)Lakini hayo hayajawatoa relini na kuzidi kuchapa kazi...!!
Azam TV hakuna siku watakuja kunishawishi ninunue king'amuzi chao nikiwa Tanzania.. napenda ubora zaidi wa king'amuzi cha DSTV kuanzia contents mpaka ubora wa picha.. Azam TV nooooo! mpaka mwisho
 
Acha siasa bwana wee kama ipo basi sio HD dstv hawahawa kabsa waoneshe ligi ya KE.
Walianzaga tena muda sana kama hio ni 2013 na hd ya dstv imetulia kuliko ya azam.... Na ligi yao bado haikuweza kua maarufu kama ligi ya bongo
_20230510_122003.JPG

Kagere jina limekuja kua kubwa sana alipotua Simba.... Kipindi yupo GorMahia walikua wanamjua wajaluo tu
 
App uchwara inakipi cha ajabu
Machaguo ya resolution
Ubora wa picha na sauti
Mechi nyingi (karibu zote)
Channel nyingine za movie nk

Hakuna matangazo mengi wala buffering
 
Machaguo ya resolution
Ubora wa picha na sauti
Mechi nyingi (karibu zote)
Channel nyingine za movie nk

Hakuna matangazo mengi wala buffering
~Inachelewa dakika nyingi sana hata ukiweka resolution ya chini kabsa ile 230 quality game inachelewa dakika 3-5 nyuma

~Lugha gani ile
 
Ukiachilia mbali ukweli kwamba Azam kafanya kazi kubwa sana kuinua ligi ya Bongo ila Tanzania pia ilikua ready kwa maendeleo hayo ,

Kwanza kabisa watanzania hawakua waki idharau ligi ya ndani kama jinsi wakenya wanavyo idharau ligi yao , so azam ali panda mbegu sehem yenye rutuba tayari

Pili Tanzania hakuna matabaka , kama yapo ni madogo sana , matabaka kama ya ukabila / udini hii inafanya suala la kuwaunganisha mashabiki kwenye soka kua rahisi sana ila kenya kuna battle la wao kwa wao ndani ,

Peace , uwepo wa amani na utulivu umefanya ukuaji wa soka la nchi ya Tanzania kua rahisi sababu hata wachezaji wa kigeni wanakua wame relax wanapo kua Tanzania , wengine wame chukua Uraia kabisa , sababu ya amani ,

Mwisho ni ubora wa miundo mbinu , ya soka , wakati azam anaanza kubroadcast ligi ya tz miundo mbinu haikua mizuri kama ya sasa , ila haikua mibovu kama ilivyo ya Kenya leo!

Ligi ya kenya kuwa level ya ligi ya Tz ya sasa ni swala gumu sana japo lina wezekana , DSTV mwenyewe ime mshinda hiyo ligi,.
 
Uhuru hakuwa huru kwa Wafanyabiashara wa Tz, alikiwaogopa. Entrance ya Azam Kenya isingewezekana wakati wa Uhuru Kenyatta
Angalia hata Taifa Gas ilipata usumbufu sana kuingia Kenya ila baada ya kuingia Ruto shughuli ikawa nyepesi sana
Wakati mwingine wanasiasa wakiingia kwenye biashara kunakuwa na matatizo
 
Uhuru hakuwa huru kwa Wafanyabiashara wa Tz, alikiwaogopa. Entrance ya Azam Kenya isingewezekana wakati wa Uhuru Kenyatta
Angalia hata Taifa Gas ilipata usumbufu sana kuingia Kenya ila baada ya kuingia Ruto shughuli ikawa nyepesi sana
Wakati mwingine wanasiasa wakiingia kwenye biashara kunakuwa na matatizo
Una uhakika huyo RUTO hayupo kwenye biashara. Wake up buda RUTO owns pesa chafu than any other EAST AFRICAN citizen.
 
Back
Top Bottom