Hongera Azam kwa kuanza kuonesha Ligi ya Kenya mtafika mbali. Commentator awe na lafudhi yao kama DJ Afro

who will finance the Kenya leagues . Kenya are not football fans . Check the national team .
Kwasababu ligi yao pia imebase kwenye ukabila ndo maana wengi wanajionea bora wajisumbue na ligi za nje kuliko ligi ya kenya
 
Hakuna ligi inayoifikia ligi ya tz hapa cecafa,acha ujinga
 
EPL hutoa game moja free kila weekend kwa tv za ndani,hivi app gani inaonesha mipira siku hz!?..maana hesgoal washapita nayo
Game free??jichanganye

App ziko nyingi mno
Yalla sports
Yacinne TV
Football live HD
N.k
zote playstore unazipata
 
Dstv ameonyesha mara nyingi ligi ya kenya kuliko ligi ya bongo na bado haikukua,,,,,........ Ligi ya Kenya ipo DSTV muda sana
Acha siasa bwana wee kama ipo basi sio HD dstv hawahawa kabsa waoneshe ligi ya KE.
 
Za ndani nakupa
Azam,Startimes na Dstv wakishirikiana na TCRA walikiripoti king'amuzi hiko hvyo kinapigwa vita balaa na ukikamatwa unauza faini yake hutoamini btw Canal+ wanatangaza kwa kifaransa
Duu jau.
 
Umedanganya. Kifurushi cha chini dstv Kenya ni 500ksh. Msemo wa dunia kijiji kwako haujafika?
 
Kisirisiri sana ni kama sisi tunaostream online kwenye viAPP uchwara hapo wakiripotiwa wanaweza kupigwa faini mpaka wachanganyikiwe
Ipigwe faini na nani?
Kwa wiki kuna free match moja EPL na kwa E.A wanarusha K24, NTV Uganda na hao UTV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…