Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Kuna wengine naona wanakodoa mimacho kodo hawaamini kinachotokea ndio basi tena CDM tunasepa na kijiji[emoji3577]Hongera za pekee ziende kwa Halima Mdee. BAWACHA ni jumuia imara sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wengine naona wanakodoa mimacho kodo hawaamini kinachotokea ndio basi tena CDM tunasepa na kijiji[emoji3577]Hongera za pekee ziende kwa Halima Mdee. BAWACHA ni jumuia imara sana.
Unawezaje kusimulia mvua ambayo hajakunyeshea kumbe huku kwenu ndio wapo hivyo tunashukuru kwa kutujuza[emoji23][emoji23]Labda kama unaongea kuhusu vijana wenye vichaa...
Kwamba sio kweli magu ananunua watu chademaNafurahi kusoma mnajipongeza.. kutiana moyo hata pale.. inajulikana ushindi sio wao.. ni kitu nzuri kusanaaaa..
Tabu munasahau.. kizuri haki_____.
Musubiri nane mbili.. picha mutaiwona.. ila [emoji1787][emoji1787][emoji1787].. muwanze [emoji1784][emoji1784][emoji1784]
Mbowe mwenyewe anatafuta sehemu ya kijificha hiyo28Chini ya Mh Mbowe wamepikwa wakapikika.
Hata Magufuli akitaka kijana makini anakuja kuomba chadema. Yale madungayembe ya UVCCM yanaishia kulalamika tu.
Yule M BAVICHA kule Nyamagana naye vipi mambo zake...???Labda kama unaongea kuhusu vijana wenye vichaa...
Je vipi na yule anayegawa vyeo kwa wanawake weupe naye anatafuta ngono.Mbowe anagawa ubunge wa viti maalum kwa rushwa ya ngono. La sivyo BAWACHA ingekuwa mbali.
Yule M BAVICHA kule Nyamagana naye vipi mambo zake...???
Umefilisika hoja, naona Lisu kakuibua kutoka kuzimu uje uongeze nguvu kumsifu na kumwabudu shetaniMbowe anagawa ubunge wa viti maalum kwa rushwa ya ngono. La sivyo BAWACHA ingekuwa mbali.