Hongera BoT kwa utaratibu wa watumishi kukopa benki kwa njia ya mtandao, japokuwa mikopo umiza mitaani bado imewashinda

Hongera BoT kwa utaratibu wa watumishi kukopa benki kwa njia ya mtandao, japokuwa mikopo umiza mitaani bado imewashinda

Wewe achana na fikra potofu kuhusu walimu wetu wakati wewe mwenyewe hapo ni mkopaji wa hiyo mikopo unayosema. Issue za kukopa ni kila mtumishi na kila mtu mwenye shida zake anakopa. Acha fikra potofu. Usiishi kwa kukariri maisha kaka.
Umekuja mpaka huku, lofa la Facebook hili.. Walimu ni wapumbavu wajinga wasiojitambua na huu ndo ukweli masai wewe tahila we
 
Umekuja mpaka huku, lofa la Facebook hili.. Walimu ni wapumbavu wajinga wasiojitambua na huu ndo ukweli masai wewe tahila we
Tahila na mpumbavu ni wewe unayetukana walimu waliokulea na kukufundisha kila kitu. Atukanaye walimu hana akili timamu na kuna matatizo makubwa anayopitia maishani mwake yanayomfanya awe na makasiriko ovyo. Katafute hela ili uache makasiriko ovyo na kuchukia watu bila sababu. We ni **** tu usiyejielewa. Na huna la kuwafanya walimu zaidi ya kujipotezea muda wako bure.
 
Hongereni sana kwa utaratibu huu unaondoa kero ya wafanyakazi kukaa foleni benki kusubiri kuonana na Afisa Mikopo wa Benki na usumbufu mwingine kama kutembea na makaratsi kwenye bahasha, gharama za kutoa copy na ku-print documents husika.
  1. Kuwatafuta wanasheria wagonge mihuri
  2. Kutafuta stationery upige passport
  3. Kumtafuta supervisor kazini agonge mihuri
 
Hata hivyo, BoT mmeshindwa kabisa kusimamoa Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha ya mwaka 2018 na kanuni zake za huku mitaani.

Mitaani biashara hii inafanyika kiholela kwa watu wasio na leseni huku wakitoza riba kubwa mpaka kufikia riba ya asilimia 40 kwa mwezi.

Taasisi za kifedha kukaa na kadi za benki za Watumishi huku na wao wakitoza riba kubwa kinyume Kabisa na sheria.

Taasisi hizi nyingi hazitumii utaratibu wa Reducing katika kutoza riba na baadhi hazitoa hata mkataba kwa wateja wao.

Kwa kifupi, mapungufu ni mengi na wahusika hawana hofu kwassbabu usimamizi wa sheria ni hafifu kwa kiasi kikubwa na hivyo wana-assume sheria haipo kwassbabu imekosa usimamizi.
Ukiona jambo halishughulikiwi na serikali wakati lina madhara kwa jamii ujue kuna wakubwa wananufaika na adha hiyo
 
Serikali kupitia BoT, wamekuja na utaratibu mpya unaoelekeza mikopo ya Watumishi kutolewa online ambapo Mtumishi ataomba mkopo mtandaoni kuputia Watumishi Portal.
Wasiwasi wangu ni huenda riba na gharama za mkopo kuwa na vitozo vingi vitakavyomuumiza mnufaika, usishangae kusikia tozo za mkopo, gharama za huduma mtandao nk
 
Kausha damu mradi wa ccm pengine,kwani kwa wanayokumbana wananchi hasa wanawake naamini serikali ingeshawasaidia sana
 
Back
Top Bottom