Hongera Camilius Wambura kwa utulivu huu nchini

Hongera Camilius Wambura kwa utulivu huu nchini

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
Takriban miezi 2 kufika leo media zote zilijaa mambo ya upotoshaji kutoka kwa akina Mwabukusi, Dr. Slaa, Mdude, Nshala, Lissu etc. Hawa walikuwa wanatumia lugha ya vitisho na matusi dhidi ya viongozi wa Serikali kuhusiana na Mkataba wa Bandari na DP World.

Wapo pia waliotumia fursa zao kukosoa bila matusi wala jazba baadhi ya vipengere kama Prof. Tibaijuka, Prof Shivji, Joseph Butiku, Jaji Warioba etc.

Hata mimi ninazo nyuzi zangu ambazo nimekosoa kwa staha tu vipengere ambavyo havina masilahi.

Kuanzia jana na leo tumetulia kusoma na kusikia clips za matusi toka kwa akina Mwabukusi, Mdude na Dr Slaa.

Nawapongeza Tanzania Police chini ya IGP Camilius Wambura na TISS kama imehusika kwa kuliheshimisha Taifa.

Bandari haijauzwa, tuachane na hii taharuki.
 
Takriban miezi 2 kufika leo media zote zilijaa mambo ya upotoshaji kutoka kwa akina Mwabukusi, Dr Slaa, Mdude, Nshala, Lissu etc. Hawa walikuwa wanatumia lugha ya vitisho na matusi dhidi ya viongozi wa Serikali kuhusiana na IGA/ Mkataba wa Bandari na DP WORL...
Wasiachiwe hao Hadi 2030
 
Takriban miezi 2 kufika leo media zote zilijaa mambo ya upotoshaji kutoka kwa akina Mwabukusi, Dr Slaa, Mdude, Nshala, Lissu etc. Hawa walikuwa wanatumia lugha ya vitisho na matusi dhidi ya viongozi wa Serikali kuhusiana na IGA/ Mkataba wa Bandari na DP WORLD
...
Unafiki unatutesa sana'' wa TZ, utasikia mama mi 5 tena!! Unajiuliza kwa lipo?
 
Tumesha anza Hatua Rasmi za Kukata Rufaa dhidi ya Maamuzi ya Kigugumizi ya Majaji Wa(3) wa Mahakama KUU,Mbeya Vs. Mkataba Mbovu wa Bandari (IGA). TUTAWAPIGANIA Wenzetu waliobambikiwa KESI kwa nguvu zote Huku tukipinga Uamuzi husika Mahakama ya Rufaa Tanzania
20230814_160309.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumefungua Kesi hii, Under Certificate of Urgency, Wakati Wapiganaji wenzetu Wapo Korokorini. Ndio njia pekee ya kuwatia moyo. It's high Time kusimama na kuungana Ili twende kwenye kwenye Muafaka Mwema Maslahi mapana na Taifa Letu. TUSIOGOPE[emoji3578]View attachment 2717185

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mnavosambaziana hivi vikaratasi mitandaoni basi mnajiona washindi kweli [emoji1787]. Tanzania hii watu wa kufanya mnayoyaita mageuzi ya kuiondoa CCM bado hawajazaliwa sana sana mpo wajinga wajinga tu wakupiga porojo.
 
Takriban miezi 2 kufika leo media zote zilijaa mambo ya upotoshaji kutoka kwa akina Mwabukusi, Dr Slaa, Mdude, Nshala, Lissu etc. Hawa walikuwa wanatumia lugha ya vitisho na matusi dhidi ya viongozi wa Serikali kuhusiana na IGA/ Mkataba wa Bandari na DP WORL...
Mumeo anajua kapata mke mwenye akili kumbe hovyo kabisaaa
 
Mnajidanganya

Vita bado mbichi kabisa mnajifariji eeh

Na kwa taarifa yenu hao mliowakamata na kuwabambikizia kesi za uhaini ndio mnazidi kuchochea moto

Yajayo yanafurahisha
 
Takriban miezi 2 kufika leo media zote zilijaa mambo ya upotoshaji kutoka kwa akina Mwabukusi, Dr Slaa, Mdude, Nshala, Lissu etc. Hawa walikuwa wanatumia...
Waliokuwa wanatukana, kutisha watu na kuongea upuuzi ni wale waliohongwa na wakwepa kodi wa bandarini, ili watumie kila njia ikiwezekana hata matusi ili kuifanya serikali ishindwe au kusitisha mkataba.

Kuna watu humu mtandaoni walikuwa wakiandika kila kauli chafu iliyokuwa ikitolewa na mwanasiasa fulani, na walishangilia na kufurahia kauli zile.

Leo kibao kimegeuka watoa kauli wanafinywa, afu waliokuwa wanafurahia kauli zile wanalia na kulalamika.
 
Back
Top Bottom