Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wewe unafikiri bandari ikiuzwa serikali inapewa risiti?!Ni wapi umeona bandari imeuzwa? Au nyinyi ndiyo wajinga ambao mnakariro kama kasuku maneno ya wana harakati?? Weka risiti hapa ya kuuzia bandari
Soma mkataba wote wa bandari uelewe.Acha mambo ya kufikirika, nionyeshe kama bandari imeuzwa. Very simple
Waogo kwenye Nini? Ujumbe umeshafika. Ndio maana Wambura anahaha na kesi ya uhaini.Siyo kwa wabongo nyie waoga kuliko uoga wenyewe.
Mjinga mwenyewe na manafiki mkubwa. Kamuulize Wambura kwanini amaekuja na kesi ya uhaini. Halafu muulize DPP kwanini alikuja na kesi ya ugaidi baadae akaifuta. Eti hawajazaliwa, CCM ishukuru Jeshi na polisi wapo upande wake, ila siku wakiwa neutral, CCM ni wepesi Kama karatasi.Kwahiyo mnavosambaziana hivi vikaratasi mitandaoni basi mnajiona washindi kweli [emoji1787]. Tanzania hii watu wa kufanya mnayoyaita mageuzi ya kuiondoa CCM bado hawajazaliwa sana sana mpo wajinga wajinga tu wakupiga porojo.
Akili zako ni tope tupuNi wapi umeona bandari imeuzwa? Au nyinyi ndiyo wajinga ambao mnakariro kama kasuku maneno ya wana harakati?? Weka risiti hapa ya kuuzia bandari
Maendeleo gani? Ya kushindwa kupunguza mfumuko wa Bei au mafuta ya petroli. Punguzeni unafiki.Sio mitano, raia huku utanzaniani tunataka aongezewe hadi 30.
Unauliza kwa lipi?!!! Are u serious?!!! You must have eyes on your back.
Sisi tunaona maendeleo, tunaona utulivu, tunaona uhuru wa kutoa maoni na sasa tunaona ushughulikiwaji wa kistaarabu kabisa kwa waliolenga kuanzia taharuki kwa kupitia dini, ukanda, uvyama na jinsi.
Mahakama za Rostam. Za kupigiwa simu maamuzi yanabadilishwa.Mahakama zile zile!?
Umeelewa lakini?Njoo kesho Ubungo Kibo nikupeleke Kurasini kama hutaikuta bandari. Hizi kauli za kishenzi ndiyo zikienea zinaleta taharuki.
Mwanachi wa kawaida anataka efficiency ya bandari na mapato yatokanayo na bandari bila kujali wanaoendesha ni waarabu au wazungu au wasukuma
Kama haiwezi kuwa enforceable kwenye mahakama, bungeni ilipelekwa ya Nini?. Mnadanganywa na nyie manadanganya.Je unayo elimu ya mikataba? Je unajuwa kuwa kilichosainiwa ni IGA? Na IGA haiwezi kuwa enforceable in the court of law?
Unajifanya mjinga kumbe unazo akili. Umeelewa lakini unajifanya hujaelewa. Kwa kifupi bandari kapewa muarabu, Kama ilivyokuwa kipindi Cha loliondo gate.Ni wapi umeona bandari imeuzwa? Au nyinyi ndiyo wajinga ambao mnakariro kama kasuku maneno ya wana harakati?? Weka risiti hapa ya kuuzia bandari
Umesoma objective ya IGAJe unayo elimu ya mikataba? Je unajuwa kuwa kilichosainiwa ni IGA? Na IGA haiwezi kuwa enforceable in the court of law?
1. Tutajie nchi ambayo yenyewe bei zinashuka tu siku baada ya sikuMaendeleo gani? Ya kushindwa kupunguza mfumuko wa Bei au mafuta ya petroli. Punguzeni unafiki.
Kwa hiyo angepewa mzungu kama alivyopewa Geita na North Mara usingelalamika? Kwa hiyo issue ni mwarabu? Ubaguzi wa rangi utwatia unaskini pimbi nyinyi!!Unajifanya mjinga kumbe unazo akili. Umeelewa lakini unajifanya hujaelewa. Kwa kifupi bandari kapewa muarabu, Kama ilivyokuwa kipindi Cha loliondo gate.