chamilo nicolous
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 2,097
- 1,457
Wahuni + walamba asali = hamia sururuAkipatikana mpumbavu mwingine kama wewe mmoja tu humu jf asiyejua hata kuandika, siyo tu kwamba nitajitoa jf lakini pia nitaitupilia mbali hii simu yenyewe niliyoitumia kujiunga.
Mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, tunae sana sisi watanzania. Waovu anawakemea na kuwashughulikia kabisa ndiyo maana dr slaa na wale wapuuzi wengine wanaendelea kushughulikiwa. Au kuna waovu zaidi ya hao wahaini?!!!!!!