Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Wanyonge hao mkuu, hata kuingia huko benki hawajawahi, hela wanahifadhi uvunguni, japo now mpesa zinawasaidiaHawa ndio wale wanaoshika mkia darasani.
Unataka kunambia Roma na Mo bado wanamuogopa Makonda hadi sasa?Ukitaka kujua sabaya alikuwa katili tafuta clip ambayo inamwonyesha akitoa kichapo kwa mfanyabiashara wa Arusha .
Kupitia ile clip mm kiukwel nimemwona sabaya ana ukatil shetan akasome .yote yanayosemwa hapa naamin ni kweli kabisa ,watu hawawez kukuchukia kiasi hicho .
Pia ukitaka kujua kuwa hawa watu aina ya makonda ni wanafki wa hatar anaua usiku kesho yupo kanisani anatoa hadi machoz kamuulize roma .Roma na mo wana Siri nzito sana ya makonda alivyokuwa mafia ila naamini makonda atakuja kulipa kuhusu Roma ,mo na wengine aliowafanyia umafia ,jamaa ajichunge sana Kuna cku watakuja kuta mwili wake unaelea juu ya maji huku ukiwa umelawitiwa kabisa maana watu wana machungu nae sana ,bahat nzuri nae analijua Hilo kuwa Kuna muda wa kulipa yale yote aliyowafanyie wenzie
makengeza ameacha kukupumulia..?Bottom anamtetea TOP wake!!! Shame!
Inafikilisha kwakweli."Polisi walimsindikiza bank akaenda kutoa sh 25M" ATM zinatoa sh 2M tu kwa siku, usiku bank zimefungwa 25M alitoaje?
Kumsaidia huyo mzee kungemaanisha kupunguza 60% ya Mwendazake. Ikabidi wauchune tu.Ni kwanini polisi, Takukuru na a Waziri Mkuu walishindwa kumsaidia mzee Lyimo?
SanaKweli bro Kwa hiyo jambazi moja tu lilituharibia nchi yetu!!! Wote wakachimbia mikia matakoni!!
Nyie watu mna shida sana hahahaha!! Unajuaje kama anapumuliwa na huyo unayemuita makengeza?makengeza ameacha kukupumulia..?
Shule zinazotuletea vilazaHuyu Dogo alikua fala sana, alikua anafanya matukio na Anaacha ushahidi.
Kwa hiyo Sabaya anajihusisha pia na madawa ya kulevya? Alipata wapi bangi na mirunhi?Kabisa mkuu maana ukisikia matendo ya wasaidiz wake yanatia kinyaa Sana na jins hayat alivyokuwa akijipambanua kuwa n mzalendo mtoa haki na haya tunayoyaona na mengne kusikia Kuna shida mahali kwa intelejensia yetu na madaraka ya Rais n makubwa Sana kwa kwel
Kuna mwaka tutachagua chizi kabisa na aiuze nchi na wananchi tutaufyata kabisaa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sabaya anaonewa sana, angekuwepo dikteta magufuli haki ingetendekaNapenda kutumia fursa hii kumpongeza kwa dhati Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, CP Salum Hamduni kwa kumpigia simu mzee Lyimo na kuagiza maafisa wa TAKUKURU mkoani Kilimanjaro wafungue jalada la uchunguzi.
Mzee Lyimo ni mfanyabiashara ambaye aliporwa TZS 25M na aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya. Inaelezwa kuwa Sabaya alikua na desturi ya kufuatilia akaunti za wafanyabiashara wakubwa na kujua kiasi walichonacho bank.
Baada ya kufuatilia akaunti ya mzee Lyimo na kujiridhisha kuwa ana "mzigo wa kutosha" bank, alimvamia nyumbani kwake akiwa na mabaunsa, pamoja na askari polisi wa kituo cha polisi Bomang'ombe. Askari hao walibaki nje ya geti wakiwa kwenye gari. Inadaiwa Sabaya aliambatana na Juma Rahibu ambaye kwa sasa ni Meya wa Moshi.
Waliingia ndani wakiwa na mabegi mawili. Walitoa silaha na kuwaweka chini ya ulinzi familia nzima. Kisha wakamchukua mzee Lyimo na kuzungumza nae. Sabaya akamwambia "nahitaji 25M sasa hivi, ama nikukabidhi haya mabegi yawe yako"
Akafungua kumuonesha begi moja lina bangi na jingine lina mirungi. Mzee Lyimo akaona anatengenezewa kesi ya madawa ya kulevya ambayo haina dhamana. Na ukizingatia umri wake anaweza kufia gerezani. Basi akakubali kutoa kiasi hicho cha pesa.
Sabaya akaagiza polisi waliokua nje na "difenda" wamsindikize bank, ambapo alienda kutoa kiasi hicho cha pesa na kuja kumkabidhi Sabaya. Matukio yote yalirekodiwa kwenye CCTV za nyumbani kwa mzee Lyimo lakini Sabaya wala hakujali. Alijua mamlaka inayomlinda ni kubwa sana.
Hata hivyo mzee Lyimo hakuridhika na akaamua kutafuta haki yake kimyakimya. Akaenda kuripoti TAKUKURU lakini hawakumsaidia, akaripoti polisi hawakumsaidia. Baadae akamwambia Godbless E.J. Lema ambaye alilifikisha kwa Waziri mkuu lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa.
Sasa baada ya Sabaya kukamatwa, Lema akaamua kuandika tweet ya kukumbushia haki ya mzee Lyimo. Baada ya kuona tweet hiyo mamlaka zimeanza kuchukua hatua. CP Hamduni amempigia simu mzee Lyimo na tayari TAKUKURU Kilimanjaro wameshafungua jalada. Hongera sana Hamduni, naamini mzee Lyimo atapata haki yake.
View attachment 1818470
ni kwa sababu kijana alifanya kazi kwa usahihi ya kuwalawiti na kuwatesa wana chadema,hiyo ilikuwa ni furaha kubwa sana kwa CHIEF SADDIST tena watu wa huko walishaambiwa maendeleo yametosha so sabaya alikuwa mtu sahihi kuwa frustrate maana wafanyabishara kibao walifunga bishara na kuhamishia mitaji nairobi,kilimanjaro in 5 years wangeiua kabisaNi kwanini polisi, Takukuru na a Waziri Mkuu walishindwa kumsaidia mzee Lyimo?
Inaonesha Sabaya alikuwa anafanyakazi kwa maagizo maalumu kutoka juu .Ni kwanini polisi, Takukuru na a Waziri Mkuu walishindwa kumsaidia mzee Lyimo?
walio,bambikia mdude heroin walitoa wapi?mmoja wao laana juzi imemkuta kafukuzwa ukuu wa mkoaKwa hiyo Sabaya anajihusisha pia na madawa ya kulevya? Alipata wapi bangi na mirunhi?
Kamata majahili tupa LupangoNapenda kutumia fursa hii kumpongeza kwa dhati Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, CP Salum Hamduni kwa kumpigia simu mzee Lyimo na kuagiza maafisa wa TAKUKURU mkoani Kilimanjaro wafungue jalada la uchunguzi.
Mzee Lyimo ni mfanyabiashara ambaye aliporwa TZS 25M na aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya. Inaelezwa kuwa Sabaya alikua na desturi ya kufuatilia akaunti za wafanyabiashara wakubwa na kujua kiasi walichonacho bank.
Baada ya kufuatilia akaunti ya mzee Lyimo na kujiridhisha kuwa ana "mzigo wa kutosha" bank, alimvamia nyumbani kwake akiwa na mabaunsa, pamoja na askari polisi wa kituo cha polisi Bomang'ombe. Askari hao walibaki nje ya geti wakiwa kwenye gari. Inadaiwa Sabaya aliambatana na Juma Rahibu ambaye kwa sasa ni Meya wa Moshi.
Waliingia ndani wakiwa na mabegi mawili. Walitoa silaha na kuwaweka chini ya ulinzi familia nzima. Kisha wakamchukua mzee Lyimo na kuzungumza nae. Sabaya akamwambia "nahitaji 25M sasa hivi, ama nikukabidhi haya mabegi yawe yako"
Akafungua kumuonesha begi moja lina bangi na jingine lina mirungi. Mzee Lyimo akaona anatengenezewa kesi ya madawa ya kulevya ambayo haina dhamana. Na ukizingatia umri wake anaweza kufia gerezani. Basi akakubali kutoa kiasi hicho cha pesa.
Sabaya akaagiza polisi waliokua nje na "difenda" wamsindikize bank, ambapo alienda kutoa kiasi hicho cha pesa na kuja kumkabidhi Sabaya. Matukio yote yalirekodiwa kwenye CCTV za nyumbani kwa mzee Lyimo lakini Sabaya wala hakujali. Alijua mamlaka inayomlinda ni kubwa sana.
Hata hivyo mzee Lyimo hakuridhika na akaamua kutafuta haki yake kimyakimya. Akaenda kuripoti TAKUKURU lakini hawakumsaidia, akaripoti polisi hawakumsaidia. Baadae akamwambia Godbless E.J. Lema ambaye alilifikisha kwa Waziri mkuu lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa.
Sasa baada ya Sabaya kukamatwa, Lema akaamua kuandika tweet ya kukumbushia haki ya mzee Lyimo. Baada ya kuona tweet hiyo mamlaka zimeanza kuchukua hatua. CP Hamduni amempigia simu mzee Lyimo na tayari TAKUKURU Kilimanjaro wameshafungua jalada. Hongera sana Hamduni, naamini mzee Lyimo atapata haki yake.
View attachment 1818470
Kwani tuna waziri mkuu?Ni kwanini polisi, Takukuru na a Waziri Mkuu walishindwa kumsaidia mzee Lyimo?
Sasa mwendazake alikua wa mchezo? huku sabaya na makonda wakiwa watoto pendwa.Ni kwanini polisi, Takukuru na a Waziri Mkuu walishindwa kumsaidia mzee Lyimo?