PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Asante sana jirani,mimi ni mkweli siku zote,basi tu hunielewagi.
Nauliza Tu, kwani na wewe Ni seleburiti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana jirani,mimi ni mkweli siku zote,basi tu hunielewagi.
Nikuulize wewe......
Nilivyoona hii mention kidogo nizimie....lol
Haya mabifu ya kijinga yaishe sasa jama,imagine wakifanya collaboration!!!
Nitafurahi sana.
nifah sasa naomba Diamond amshike mkono Ali Kiba
Yataanza na sisi mashabiki.
Nilivyoona hii mention kidogo nizimie....lol
Haya mabifu ya kijinga yaishe sasa jama,imagine wakifanya collaboration!!!
Nitafurahi sana.
Asanteeee
Sio sahihi kumlinganisha Ally Kiba na Diamond kwa sasa
nifah sasa naomba Diamond amshike mkono Ali Kiba
Basi tu umenikuta kwenye mood nzuri.
Sio sahihi kumlinganisha Ally Kiba na Diamond kwa sasa
Hivi ujue hawa watu wakiungana tutaishika Afrika nzima?
Hizi beef za kishamba ziishe sasa.