Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza kabisa naomba niwajuze wale wasiomfahamu nifah...
Mimi ni mkweli na mwenye msimamo mkali.
Huwa nasimamia katika kile ninachokiamini bila kuogopa wengine watapinga vipi au kunichukulia vipi.
Back to topic... Ni ukweli ulio dhahiri kuwa Diamond kafanya vizuri,na mimi kutokana na aya ya kwanza hapo juu sitaki kuwa mnafiki au kumung'unya maneno.....UMENISHIKA Diamond.
Nimependa Audio,video yaani kila kitu.
Tokea ulivyoutoa huu wimbo jumamosi nimekuwa nauangalia mara nyingi sana,na mara zote nimekuwa natikisa kichwa na kusema naam....hapa jamaa kaweza.
Ni unafiki na kuendeleza ubishani wa kipumbavu kwa kuponda vizuri kwa mwamvuli wa team, tuachane na huu ujinga na kuukubali ukweli.
Mimi kama mdau wa muziki mzuri,nasema huu wimbo wa Diamond ni mzuri sana.
#Note
Nimetoa hii post kwa mapenzi yangu mwenyewe,haina maana kwamba sasa nimekuwa team Diamond hapana,penye ukweli lazima niseme.
Sasa sitaki unafiki na kejeli kuwa nimesanda sijui na nini maana nawajua mashabiki wa Diamond vizuri tu.
Msilolijua ni kwamba nilikuwa shabiki mzuri tu Diamond, ila alikuja kunikera sehemu fulani (hata sasa simpendi ila nimeupenda wimbo wake).
Wale fans wa Kiba wenzangu bado nipo nanyi,ila tujifunze kusema ukweli.
Hata nyie majirani zetu pia....sio mnapenda wimbo lakini mnachokisema huku ni tofauti.
Period
Thanks for your appreciation nifah.Tahadhari yako baadae niliielewa maana hili jukwaa members wako kwenye makundi ya ushabiki. Kuna mashabiki wa AK na wapo wa DPtnmz.Ukitoa thread ya kumsifia mmoja wa hao, mashabiki wa upande mwingine wananyanyua juu mikuki yao!Anyway, ulijaribu kujieleza vizuri bila ushabiki ule wa kukera.SHIEKA,umenielezea utadhani unanijua vyema.
Kiukweli nimeshangaa sana,una uwezo mkubwa wa imagination.....hongera.
Napenda urembo na hii video kama ni kiu basi imekuwa maji kwangu,na wimbo wenyewe ulivyo mzuri ndio kabisaaaa umenimaliza.
Nisiongee sana,umemaliza yote.
SHIEKA mimi ni mwenyeji wa hili jukwaa,nawajua vizuri sana member wa hili jukwaa ndio maana nikatoa hiyo tahadhari.
Na kiukweli imenisaidia maana huu uzi ungechafuka.
Sio kila mtu anayemsifia mtu amefall in love nae,kama unanijua vyema mondi sijawahi kumkubali tokea nijiunge humu takribani miaka miwili sasa.Mtumeee usha fall in love with him. Hio ndo sababu
Sio kila mtu anayemsifia mtu amefall in love nae,kama unanijua vyema mondi sijawahi kumkubali tokea nijiunge humu takribani miaka miwili sasa.
Kafanya vizuri na mimi ni mkweli,nikampa hongera zake.
To cut long story short,sijawahi kumpenda Diamond kwa namna ya kimapenzi hata siku 1.
Duh! Km ndoto vileKwanza kabisa naomba niwajuze wale wasiomfahamu nifah...
Mimi ni mkweli na mwenye msimamo mkali.
Huwa nasimamia katika kile ninachokiamini bila kuogopa wengine watapinga vipi au kunichukulia vipi.
Back to topic... Ni ukweli ulio dhahiri kuwa Diamond kafanya vizuri,na mimi kutokana na aya ya kwanza hapo juu sitaki kuwa mnafiki au kumung'unya maneno.....UMENISHIKA Diamond.
Nimependa Audio,video yaani kila kitu.
Tokea ulivyoutoa huu wimbo jumamosi nimekuwa nauangalia mara nyingi sana,na mara zote nimekuwa natikisa kichwa na kusema naam....hapa jamaa kaweza.
Ni unafiki na kuendeleza ubishani wa kipumbavu kwa kuponda vizuri kwa mwamvuli wa team, tuachane na huu ujinga na kuukubali ukweli.
Mimi kama mdau wa muziki mzuri,nasema huu wimbo wa Diamond ni mzuri sana.
#Note
Nimetoa hii post kwa mapenzi yangu mwenyewe,haina maana kwamba sasa nimekuwa team Diamond hapana,penye ukweli lazima niseme.
Sasa sitaki unafiki na kejeli kuwa nimesanda sijui na nini maana nawajua mashabiki wa Diamond vizuri tu.
Msilolijua ni kwamba nilikuwa shabiki mzuri tu Diamond, ila alikuja kunikera sehemu fulani (hata sasa simpendi ila nimeupenda wimbo wake).
Wale fans wa Kiba wenzangu bado nipo nanyi,ila tujifunze kusema ukweli.
Hata nyie majirani zetu pia....sio mnapenda wimbo lakini mnachokisema huku ni tofauti.
Period
Niliogopa usinichambe mwenzangu!
Kabisa,sikuwahi kufikiri kama kuna siku nitamkubali mondi hadharani......ila ndio hivyo,jamaa kafanya poa nami sina khiyana,nimempa pongezi zake.
Masikini weeeee,kweli wewe mgeni humu na umenijua wakati wa uchaguzi.Tatizo la mtoa mada ni kwamba yeye alimchukia diamond sababu ya siasa!