Hongera Diamond kwa release ya Utanipenda, umenishika Nifah!

Hongera Diamond kwa release ya Utanipenda, umenishika Nifah!

Kwanza kabisa naomba niwajuze wale wasiomfahamu nifah...
Mimi ni mkweli na mwenye msimamo mkali.
Huwa nasimamia katika kile ninachokiamini bila kuogopa wengine watapinga vipi au kunichukulia vipi.

Back to topic... Ni ukweli ulio dhahiri kuwa Diamond kafanya vizuri,na mimi kutokana na aya ya kwanza hapo juu sitaki kuwa mnafiki au kumung'unya maneno.....UMENISHIKA Diamond.
Nimependa Audio,video yaani kila kitu.
Tokea ulivyoutoa huu wimbo jumamosi nimekuwa nauangalia mara nyingi sana,na mara zote nimekuwa natikisa kichwa na kusema naam....hapa jamaa kaweza.

Ni unafiki na kuendeleza ubishani wa kipumbavu kwa kuponda vizuri kwa mwamvuli wa team, tuachane na huu ujinga na kuukubali ukweli.

Mimi kama mdau wa muziki mzuri,nasema huu wimbo wa Diamond ni mzuri sana.

#Note
Nimetoa hii post kwa mapenzi yangu mwenyewe,haina maana kwamba sasa nimekuwa team Diamond hapana,penye ukweli lazima niseme.
Sasa sitaki unafiki na kejeli kuwa nimesanda sijui na nini maana nawajua mashabiki wa Diamond vizuri tu.
Msilolijua ni kwamba nilikuwa shabiki mzuri tu Diamond, ila alikuja kunikera sehemu fulani (hata sasa simpendi ila nimeupenda wimbo wake).

Wale fans wa Kiba wenzangu bado nipo nanyi,ila tujifunze kusema ukweli.
Hata nyie majirani zetu pia....sio mnapenda wimbo lakini mnachokisema huku ni tofauti.
Period

Mtumeee usha fall in love with him. Hio ndo sababu
 
Last edited by a moderator:
SHIEKA,umenielezea utadhani unanijua vyema.
Kiukweli nimeshangaa sana,una uwezo mkubwa wa imagination.....hongera.

Napenda urembo na hii video kama ni kiu basi imekuwa maji kwangu,na wimbo wenyewe ulivyo mzuri ndio kabisaaaa umenimaliza.

Nisiongee sana,umemaliza yote.
SHIEKA mimi ni mwenyeji wa hili jukwaa,nawajua vizuri sana member wa hili jukwaa ndio maana nikatoa hiyo tahadhari.
Na kiukweli imenisaidia maana huu uzi ungechafuka.
Thanks for your appreciation nifah.Tahadhari yako baadae niliielewa maana hili jukwaa members wako kwenye makundi ya ushabiki. Kuna mashabiki wa AK na wapo wa DPtnmz.Ukitoa thread ya kumsifia mmoja wa hao, mashabiki wa upande mwingine wananyanyua juu mikuki yao!Anyway, ulijaribu kujieleza vizuri bila ushabiki ule wa kukera.
 
Last edited by a moderator:
Mtumeee usha fall in love with him. Hio ndo sababu
Sio kila mtu anayemsifia mtu amefall in love nae,kama unanijua vyema mondi sijawahi kumkubali tokea nijiunge humu takribani miaka miwili sasa.
Kafanya vizuri na mimi ni mkweli,nikampa hongera zake.
To cut long story short,sijawahi kumpenda Diamond kwa namna ya kimapenzi hata siku 1.
 
Sio kila mtu anayemsifia mtu amefall in love nae,kama unanijua vyema mondi sijawahi kumkubali tokea nijiunge humu takribani miaka miwili sasa.
Kafanya vizuri na mimi ni mkweli,nikampa hongera zake.
To cut long story short,sijawahi kumpenda Diamond kwa namna ya kimapenzi hata siku 1.

Ha ha ha, leo umetoa dukuduku lako
 
Mimi ni shabiki mkubwa sana wa chibu, but kusema ukweli hii nyimbo ya utaipenda hapana!! me sijaipenda kwakweli serious. Kitu nana aaah! ni moto wa kuotea mbali!!!!
 
Kwanza kabisa naomba niwajuze wale wasiomfahamu nifah...
Mimi ni mkweli na mwenye msimamo mkali.
Huwa nasimamia katika kile ninachokiamini bila kuogopa wengine watapinga vipi au kunichukulia vipi.

Back to topic... Ni ukweli ulio dhahiri kuwa Diamond kafanya vizuri,na mimi kutokana na aya ya kwanza hapo juu sitaki kuwa mnafiki au kumung'unya maneno.....UMENISHIKA Diamond.
Nimependa Audio,video yaani kila kitu.
Tokea ulivyoutoa huu wimbo jumamosi nimekuwa nauangalia mara nyingi sana,na mara zote nimekuwa natikisa kichwa na kusema naam....hapa jamaa kaweza.

Ni unafiki na kuendeleza ubishani wa kipumbavu kwa kuponda vizuri kwa mwamvuli wa team, tuachane na huu ujinga na kuukubali ukweli.

Mimi kama mdau wa muziki mzuri,nasema huu wimbo wa Diamond ni mzuri sana.

#Note
Nimetoa hii post kwa mapenzi yangu mwenyewe,haina maana kwamba sasa nimekuwa team Diamond hapana,penye ukweli lazima niseme.
Sasa sitaki unafiki na kejeli kuwa nimesanda sijui na nini maana nawajua mashabiki wa Diamond vizuri tu.
Msilolijua ni kwamba nilikuwa shabiki mzuri tu Diamond, ila alikuja kunikera sehemu fulani (hata sasa simpendi ila nimeupenda wimbo wake).

Wale fans wa Kiba wenzangu bado nipo nanyi,ila tujifunze kusema ukweli.
Hata nyie majirani zetu pia....sio mnapenda wimbo lakini mnachokisema huku ni tofauti.
Period
Duh! Km ndoto vile
 
Last edited by a moderator:
Excellent! Kuwa shabiki wa Kiba kusifanye usikubali wimbo mzuri wa Diamond. The same applies kwa washabiki wa Diamond. Kiba akifanya kweli, lazima apewe heshima yake.

By extension....
 
Malalamiko ya Wema kwnd kw Team Wema
 

Attachments

  • 1450373656775.jpg
    1450373656775.jpg
    50.1 KB · Views: 145
Duh! Km ndoto vile
Kabisa,sikuwahi kufikiri kama kuna siku nitamkubali mondi hadharani......ila ndio hivyo,jamaa kafanya poa nami sina khiyana,nimempa pongezi zake.
 
Excellent! Kuwa shabiki wa Kiba kusifanye usikubali wimbo mzuri wa Diamond. The same applies kwa washabiki wa Diamond. Kiba akifanya kweli, lazima apewe heshima yake.

By extension....
Sure.......
 
Kabisa,sikuwahi kufikiri kama kuna siku nitamkubali mondi hadharani......ila ndio hivyo,jamaa kafanya poa nami sina khiyana,nimempa pongezi zake.

Hongera! Ila mi ndio siikubali kabisa hii nyimbo, zaidi ya ujumbe
 
Tatizo la mtoa mada ni kwamba yeye alimchukia diamond sababu ya siasa!
 
kuna thread aliileta Pasco kule jukwaa la siasa ambapo yeye alisema kama wewe nifah kuwa yeye kuanzia ile juzi amemkubali magufuli japo si shabiki wake..amekubali kile alichokifanya magufuli lakini si vinginevyo....na wewe umeonyesha hilo..hongera kwa kuzisikiliza hisia za ndani kabisa
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la mtoa mada ni kwamba yeye alimchukia diamond sababu ya siasa!
Masikini weeeee,kweli wewe mgeni humu na umenijua wakati wa uchaguzi.
Nashindwa hata nikuambie nini maana kama ni harusi basi sasa hivi bibi harusi yule ana mtoto......
Imagine umechelewa kiasi gani!
 
Back
Top Bottom