Hongera Gerald Hando kwa kusimamia weledi kwenye kazi yako. Piga kazi watanzania tunakukubali

Thubutu, jay z alioa hakuchuja, Beyonce aliolewa hakuchuja, Michael Jackson alioa hakuchuja, Eminem alioa hakuchuja. The list goes on
Hajui kitu huyo

Yeye anawaabudu wasaf mpaka basi

Ova
 
Yeye sasa hivi ni mke wa mtu na mama aachane sasa na mambo ya vijana alichoambiwa ni ukweli vijana wanapenda watu wanaofanana nao ndio maana wasanii hawaoi wala kuolewa [emoji23]
Kwa beyonce vipi?
 
Pumba tupu unaongea hando kweli anapendwa, maulidi bila hando si kitu choka mbaya, ila kitendo cha kumnanga nandy ni kaharibu kila kitu, yeye hando kama alinyimwa kuingia kwenye harusi yao kwanini awanange si angekaa kimya tu🙄🙄🙄 kingine majizo na radio yake hawawategemei hao, efm ni brand kubwa kama hujui wewe acha ushabiki maandazi wewe
 
Umesikiliza alichoongea Hando, au umekrupuka tu na emotion ya bi mdada
 
Kwa hiyo Hando alinyimwa kwenda kula ubwabwa akamaind 😂😂 hivi kwa nini watu mnakuwa hamna akili kiasi hiki ni shule ndogo au maumbile?
 
Thubutu, jay z alioa hakuchuja, Beyonce aliolewa hakuchuja, Michael Jackson alioa hakuchuja, Eminem alioa hakuchuja. The list goes on
Mkuu hili papai rojo la mwandinga linamuonea wivu mwanamke mwenzake kuolewa alitaka aolewe yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…