Kumtaja Magufuli siyo kosa. Kwenye kampeni mtu aweza jenga hoja kwa stage mbili; 1. statement of problems, 2) statement of solutions. Hivyo mtu aweza taja matatizo yaliyopo na mtu aliye yaleta, kisha akataja solutions za hayo matatizo.
Kwa maouvu aliyofanya Magufuli, si vema kuyafunmbia macho. Ameondoa freedom of speech, right to peaceful assembly, ameteka watu na wengine wamepotea hatuwaoni tena. Ameweka watu ndani kwa makosa ya uongo, ameua biashara n.k. Sasa utaachaje kumtaja?
Kama maovu ya Magufuli yangekuwa yameelekezwa kwenye ilani ya CCM, basi hapo lawama zingeenda kwa chama. Haya ni mambo yake yeye Magufuli binafsi, hivyo lazima atajwe.