Hongera ITV kumhoji Tundu Lissu. Hongera sana Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu kwa lugha za staha. Ruksa kuhisi chochote, sio fair kutaja majina!

Bw Mayalla mara nyingi hauko huru kifikra tena ni mtu una hofu.Kwanini unamsemea lissu.eti hana ushahidi.kwanini ukaweza kujua kwamba alietajwa anasingiziwa wewe na mtajwa mnafanya kazi kitengo kimoja?
Kwasasa wewe ni mwandishi kanjanja mwanaccm.Lissu unamchukulia kwamba hajui anachoongea.Aisee pole sana.
 
Kama kuna mdau anaweza kutuwekea ningefurahi sana.Wengine hizi local channel huu ni mwaka wa nne sijathubutu kutazama wala kusikiliza.
 
Bado bado sjakuelewa unasmamia hoja gani? Maana umesema mtu ukiongea kitu na ukashindwa kuthibitisha, utaitwa muongo, then mwisho umemalizia kwa kusema katika kipindi hiki cha kampeni za kutafta kura ni ruksa kwa wagombea kuongea uwongo! Je Lissu sio mgombea? Je hatuko kipindi cha uchaguzi?

After all nondo alizoporomosha Lissu hata wewe umemkiri kuwa ni jembe, Hivyo basi hakuna haja ya kujaribu kujenga na kukuza hoja mpya, wewe uliyemuelewa vema Lissu waeleweshe na jamaa zako wa Lumumba wanaojaribu kuziba macho yao huku masikio yao bado yanamsikiliza Lissu wamuunge tu mkono hakuna jinsi!
 
Kwa hiyo unaamani angalao pachimbike.Fikiri kwanza.
Siamini kwenye kuchimbika,na sio mimi tu hata watanzania hawaamini kwenye kuchimbika.
sababu zenu za kuchimbika hazina mantiki kabisa ndo maana watanzania hawana mpango na kichimbika.

Amani kwanza,changamoto zingine zitatuliwa taratibu pakiwa na amani na utulivu mpaka tutafika Ishallah.
 
Pascal Mayalla,

Unasema kazi ya Rais ni kuteua lkn si kutengua, unamaanisha Rais Huyu wa akina Le Mutuz au Rais yupi?

Alimtengua Mangu, hadi Jeshi limemuaga Last week baada ya kustaafu rasmi

Alimtengua Prof Benno Ndulu, baada ya Ndulu kukataa Ujinga ujinga kwenye uendeshaji wa Uchumi wa nchi

Alimtengua Prof Assad, baada ya Prof kukataa Wizi kwenye Fedha za Umma

Na wengine kwa maelfu...amebaki na praise singers tu wa kutoka majalalani wasiokuwa na akili wala maarifa yoyote!
 
Kwani kura zishaibiwa marangapi na hapakuchimbika shimo?
Mbona mlipigwa pini kufanya siasa miaka mitano na hapakuchimbika?
Hamasa tu za kwenye mitandao hamna lolote ni ushuzi tu.
Duh! Hivi kumbe ni kweli huwa mnaiba kura?! Sikuwa na uhakika.
 
Pascal Mayalla,

Mzee wa kuandika UTOPOLO, naona umekuja kivingine sasa. Lissu hakamatiki kwasasa, nafasi pekee mliyoipoteza ni ile ya kutaka kumkata asigombee.
 
Freedom of speech/expression maana yake nini? Vipi kuhusu transparency? Unataka afichefiche nini?

Bora aanike tu wote tufahamu.
 
Pascal Mayalla,

Umecharanga sana labda tulijadili hili neno KUHISI ninavyojua mm ukimuhisi mtu huwezi kumtaja na ukimtaja mtu una uhakika.

Sikusikia eneo lolote lissu alisema ana hisi ila alitaja direct na ukisha taja direct unaushahidi la muhimu ungemuuliza akupe ushahidi na kwa kuwa ni mwansheria angekutosheleza.

Pia umesema uhuru wa kuongea kwamba si kila kitu utaonge mbona hilo linajulikana? Yy kamaananisha uhuru wa kuongea mambo ya kweli.
 
Hivi na wewe Mayalla hv ukiwa mwanaccm akili zinakuruka????Hv kusema jiwe ndio alieamuru lisu apigwe risasi ni uongo???KWANI WEWE JPM HUMJUI?ALIVYO NA SIFA NA HATAKI KUKOSOLEWA SASA UKIFANYA TOFAUTI NA MATAKWA YAKE NINI KITAKUTOKEA???HUYO ASSAD HUJAONA ALIVYOSONGWA????TUACHE UNAFIKI AISEEH KWENYE UKWELI!!
 
Nimesha subscribe ITV online. Kumbe ina mtangazaji kichwa namna hii. Yule Dada yupo Bright sana. Very cool and focused. Hongera ITV

Kiukweli huu ni mwaka wa tatu tangu niiangalie itv. Nimeipenda bureeee
Hata mimi aisee na ngoja nika isubscribe na mimi.
 
Tobo ni kichaa anayejua kuoga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…