Mna heavy tanks zipi ?ama type 59 ndo unaita heavy tank wacheni ujinga 🤣🤣 hizo tank zenu ata MD 500 imetosha kumaliza your entire tank battalion.Zungumzia hivyo vifaa kwanza, onyesheni
1)Ballistic Missile
2)Surface to air Missiles
3)Mobile radar
4)Amphibious tanks
5)Heavy Tanks
6)Light tanks
7)Fighter jets
Mziki mnene sana huu. Tunaweza kuikamata Nairobi within one week.
Wameshakubali, wapumzishe kidogo. Wamebaki kupiga domo tupu. Sasa kama nchi haina surface to air missiles, wataweza kuzuia ndege zetu kushambulia kambi za majeshi yao na kuharibu MAGARI na tanks vinavyotembea ardhini?Nataka wakenya mtie heshima hapa. Hivi ni vifaru vya majini na nchi kavu
View attachment 1244133
View attachment 1244134
GODZILLA kiswahili chenu kimeharibiwa na mdanganyika mwenzako.Umeona hizo vifaa za kisasa?
Nani kakudanganya hivo ?Wameshakubali, wapumzishe kidogo. Wamebaki kupiga domo tupu. Sasa kama nchi haina surface to air missiles, wataweza kuzuia ndege zetu kushambulia kambi za majeshi yao na kuharibu MAGARI na tanks vinavyotembea ardhini?
Onyesheni hivyo vyenu vyenye maana, mbona hamypnyeshi badala yake mnapiga domo tupu?Made in China...alafu kipi Cha maana na amphibious tanks?
Ama ni Mara ya kwanza kuziona??
Taarifa za kijeshi mnazobishania sio uhalisia wa mambo, nguvu za kijeshi ni siri na hubaki hivyo tu so usijimwambafy mkuu
Onyesheni zenu basi, Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.Mna heavy tanks zipi ?ama type 59 ndo unaita heavy tank wacheni ujinga [emoji1787][emoji1787] hizo tank zenu ata MD 500 imetosha kumaliza your entire tank battalion.
Wataka kuziona ndio ufaidike na Nini?Onyesheni hivyo vyenu vyenye maana, mbona hamypnyeshi badala yake mnapiga domo tupu?
Kichapo ulichowapa hawa nyangau leo ni kikubwa mnoo 😂😂😂Pwahahahaha naona mmetepeta kwelikweli
This called Amphibious Tank
View attachment 1244123
View attachment 1244124
Onyesha Surface to Air Missile zenu(SA), otherwise hamuwezi kufukuza ndege zetu ambazo zitakua zinashambulia tanks ZANU na jambo za majeshi yenu ardhini.Nani kakudanganya hivo ?
Kwani utafaidika ukiziona?Pwahahahahahaha. Zamu yako sasa utuoneshe za hapo Kenya. Show us.
Sasa hawa wakiwa ardhini tutakua tunawashambulia kutokea angani, watafanya nini cha ziada. Ukweli ni kwamba, TPDF inaweza kushinda KDF kwa kutumia fighter jets na Ballistic missile pekee, bila hata kutia miguu ktk ardhi ya Kenya.View attachment 1244140View attachment 1244141View attachment 1244142View attachment 1244143View attachment 1244144View attachment 1244145View attachment 1244146View attachment 1244147View attachment 1244148View attachment 1244149View attachment 1244150View attachment 1244152
Battle tested and viable!
Basi tulieni, hatutaki Maneno matupu kama Hamna vifaa vya kuonyesha. Hahahaha, Hahahaha.Wataka kuziona ndio ufaidike na Nini?
Ama wewe ni agent wa alshabaab?
Onyesheni hiyo drone mnayomiliki. Hahahaha,Kusema kweli, Tz wanamiliki drones kweli?
Hawajawahi kupigana vita hata moja, vita ya kwanza ni hii ya Alshabaab, matokeo yake wanauliwa kama wadudu.Njia pekee ya kupima nguvu za jeshi ni kupitia vita walivyoshiriki na kuvishinda, ukichukua rekodi za KDF vs TPDF, utajua kwa hakika jeshi imara ni lipi.
Vv
Remember Tz only have 30 aircraft while Kenya has 209. Who's is more stronger on air?Sasa hawa wakiwa ardhini tutakua tunawashambulia kutokea angani, watafanya nini cha ziada. Ukweli ni kwamba, TPDF inaweza kushinda KDF kwa kutumia fighter jets na Ballistic missile pekee, bila hata kutia miguu ktk ardhi ya Kenya.
Seat back and relax.Sasa hawa wakiwa ardhini tutakua tunawashambulia kutokea angani, watafanya nini cha ziada. Ukweli ni kwamba, TPDF inaweza kushinda KDF kwa kutumia fighter jets na Ballistic missile pekee, bila hata kutia miguu ktk ardhi ya Kenya.
Don't joke, KDF in action huko Somalia View attachment 1244113