Hongera Jeshi letu na Wanamaji (Navy), haya maonyesho ya manowari ni wazi mko vizuri

Hongera Jeshi letu na Wanamaji (Navy), haya maonyesho ya manowari ni wazi mko vizuri

homewpcompublic_htmlwp-contentblogs-dir6cf12572403files201109homewpcompublic_htmlwp-contentblo...jpg

I don't know where this is ,but it must be somewhere in the Mediterranean,red Sea ama Eastern Coast of Africa.
 
Sensible people are investing heavily in economical activities not in military, sisi hatuna haja wala sababu ya kupigana na nyie, mkileta chochoko tutawaita Arusha tukae mezani na kuyamaliza.
Wakenya mna vituko, unajisifia na hizo smoking scraps na hayo outdated-mapangaboi?
Mwache hatujui huyu mpuuzi. Kuna mbegu nzuri kule kaskazini zimekaa kama dizain ya Singida. Wakati makomandoo wetu wanawadhibiti sisi tutakuwa tunapanda mbegu na wengime tunarudi nao huku.

Si unaona jirani zeti wengine hao tunapendana sana, jamaa waliacha mbegu kule.
 
Nishaona Kaka..lakini it's not even an inch closer to KNs arsenal.
Kenya wana meli kubwa moja tu, tena ni "very old" waliinunua Spain, hiyo MV shupavu ni ndogo sana tena mbovu kila wakati kwasababu walinunua ikiwa chakavu sana. Hawana Amphibious tanks wala hawana meli yenye uwezo wa kubeba magari au vifaru, utawezaje kulinganisha na vifaa vya kisasa ambavyo vinauwezo wa kugundua na kupiga " submarine "?. Meli zetu ni meli za kisasa sana hapa Afrika, hata South Afrika hawana meli za kisasa kama hizi za Tanzania.
 
Wacha kuota. South Africa wana sub-marine. Nyinyi hamna. Ligi yenu Uganda.
Meli zetu ni " the most modern in Africa" zina uwezo wa kugundua Submarine na kuishambulia ikiwa umbali wa 50Km away, na 100M deep. South Afrika hawana meli mpya za kivita, hawajawahi kununua meli yoyote tangu kukoma kwa utawala wa wazungu.
 
Kama kawaida wazee wa show off wakati
Kwa ground vitu ni different 😂😂😂
 
Kenya wana meli kubwa moja tu, tena ni "very old" waliinunua Spain, hiyo MV shupavu ni ndogo sana tena mbovu kila wakati kwasababu walinunua ikiwa chakavu sana. Hawana Amphibious tanks wala hawana meli yenye uwezo wa kubeba magari au vifaru, utawezaje kulinganisha na vifaa vya kisasa ambavyo vinauwezo wa kugundua na kupiga " submarine "?. Meli zetu ni meli za kisasa sana hapa Afrika, hata South Afrika hawana meli za kisasa kama hizi za Tanzania.
Budaaa! KN wanamiliki meli zaidi ya kumi. The latest one having been aquired two years ago in a brand new state!
 
Meli zetu ni " the most modern in Africa" zina uwezo wa kugundua Submarine na kuishambulia ikiwa umbali wa 50Km away, na 100M deep. South Afrika hawana meli mpya za kivita, hawajawahi kununua meli yoyote tangu kukoma kwa utawala wa wazungu.
Picha Kaka...ama ni imagination?
 
Kenya wana meli kubwa moja tu, tena ni "very old" waliinunua Spain, hiyo MV shupavu ni ndogo sana tena mbovu kila wakati kwasababu walinunua ikiwa chakavu sana. Hawana Amphibious tanks wala hawana meli yenye uwezo wa kubeba magari au vifaru, utawezaje kulinganisha na vifaa vya kisasa ambavyo vinauwezo wa kugundua na kupiga " submarine "?. Meli zetu ni meli za kisasa sana hapa Afrika, hata South Afrika hawana meli za kisasa kama hizi za Tanzania.
Narudia tena Kenya navy is the biggest and best equiped navy from cape to cairo
Inventory yenu hata haiwezi fika nusu ya Kenya Navy.
P3124 KNS jasiri
P3134 kns harambee 2
P6129kns shujaa
P6130 kns shupavu
P 3126 kns Nyayo
P 3127 kns umoja
P3100 kns mamba
Galana class L39 kns Tana
L38 kns galana
Archangel class

USGS Defender class

P 101 class (ipvs) p943,p944,p945,p946,p947,p948

Missile boats p3122 kns jamhuri
p 3123 kns harambee 1
P 3121 kns madaraka

Kns ngamia
Kns Chui
Kns Ndovu
 
Nilikuwa nimesahau kuongeza MV Mtafiti a research vessel which is used to carry out extensive oceanographic surveys plus MVDoria an offshore patrol vessell (opv)
 
Budaaa! KN wanamiliki meli zaidi ya kumi. The latest one having been aquired two years ago in a brand new state!
Hahahaha, Kenya haijawahi kumiliki meli mpya hata moja, tangu Kenya ipate Uhuru wake 1964. Nipo tayari kufunga account yangu ya JF kama utaniwekea ushahidi wa hilo unalosema. Meli zote mlizonunua ni meli chakavu.
 
Nilikuwa nimesahau kuongeza MV Mtafiti a research vessel which is used to carry out extensive oceanographic surveys plus MVDoria an offshore patrol vessell (opv)
Hivi ni vimeli vidogo vidogo ambavyo sio meli za kivita, acha kupoteza lengo, sisi tunazungumzia meli za kivita.
 
Narudia tena Kenya navy is the biggest and best equiped navy from cape to cairo
Inventory yenu hata haiwezi fika nusu ya Kenya Navy.
P3124 KNS jasiri
P3134 kns harambee 2
P6129kns shujaa
P6130 kns shupavu
P 3126 kns Nyayo
P 3127 kns umoja
P3100 kns mamba
Galana class L39 kns Tana
L38 kns galana
Archangel class

USGS Defender class

P 101 class (ipvs) p943,p944,p945,p946,p947,p948

Missile boats p3122 kns jamhuri
p 3123 kns harambee 1
P 3121 kns madaraka

Kns ngamia
Kns Chui
Kns Ndovu
Hahahaha, weka picha hapa tuzione, hizo zote hazifanyi Kazi, zilishaacha kutumika ndio sababu mlilazimika kwenda kununua MV Jasiri na Shupavu ili kuchukua nafasi ya hizo vyuma chakavu.

Kenya mpo na meli moja tu ambayo ina uwezo wa kupiga mizinga ambayo ni MV Jasiri, vimeli vingine vyote ni vidogo havina uwezo wa kupiga mizinga. Hahahaha, Hahahaha.
 
Hahahaha, Kenya haijawahi kumiliki meli mpya hata moja, tangu Kenya ipate Uhuru wake 1964. Nipo tayari kufunga account yangu ya JF kama utaniwekea ushahidi wa hilo unalosema. Meli zote mlizonunua ni meli chakavu.
Funga sahizi Kaka
 
Funga sahizi Kaka
Leta ushahidi hapa, acha kuhirodhesha mambo bila ushahidi ili kujiliwaza. Hiyo MV Jasiri ni "very old technology", na Kenya meli mnayotegemea kupiga mizinga ni hiyo moja pekee, zingine zote ni ndogo na chakavu.
 
Funga sahizi Kaka
Kenya mumeshindwa hata kununua jet fighters za kisasa badala yake bado mnatumia F-5, very old model, mtaweza kununua meli kubwa ya kivita ambayo ni mpya?, maendeleo kununua used weapons ndio uwezo wenu ulipoishia.
 
Back
Top Bottom