Gunther1
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 526
- 267
Hawezi jibu hii..kazi ni kuchunguza silaha za Kenya kwa vile hao hawanaTz sasa wako na uwezo???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi jibu hii..kazi ni kuchunguza silaha za Kenya kwa vile hao hawanaTz sasa wako na uwezo???
halafu wanasema vile Jeshi lao lina "secrecy" ..Hawezi jibu hii..kazi ni kuchunguza silaha za Kenya kwa vile hao hawana
Bado uko off topic! Lakini acha nikuelimishe kidogo ndugu... Ndege za kivita huwa hazinunuliwi Kama mandazi kwa duka,unapaswa kufanya lobbying ambayo yaweza chukua muda mrefu. Kenya Sasa ivi inapanga kununua ndege Kati ya SAAB Gripen ama F16/ F14 tomcat.
Anyway, Tz mna jet za Aina gani ambazo ni hatari kuliko za Kenya?
Absolutely,only weak armies like our southern neighbors display all their arsenal.Boss KAF wakona some F16 that dont get talked about, each pilot was trained at a cost if kes.50m
Overheard we've got four F-16 interceptors and other normal f16 jets which remains undisclosed to the public.Boss KAF wakona some F16 that dont get talked about, each pilot was trained at a cost if kes.50m
Overheard we've got four F-16 interceptors and other normal f16 jets which remains undisclosed to the public.
Tanzania iko na uwezo kupita Kenya, ndio sababu tumenunuaTz sasa wako na uwezo???
Hahahaha, mkinunua F-16 hata moja tu, nijulisheni, nitoke kabisa hapa JF, itakua ndio mwisho wangu Mimi kuwa hapa JF.Boss KAF wakona some F16 that dont get talked about, each pilot was trained at a cost if kes.50m
Ninyi ni vichaa, weka hapa picha na link inayoonyesha Kenya kuna F-16. Nchi fukara kama Kenya hamuwezi kuwa na F-16 in our generation time.Overheard we've got four F-16 interceptors and other normal f16 jets which remains undisclosed to the public.
Wakinionyesha uwanja wa ndege wa jeshi modern kama huu Kenya nzima nakaa kimya humu ndani!Tanzania iko na uwezo kupita Kenya, ndio sababu tumenunua
1)Meli mpya kubwa zaidi ya MV Jasiri 2
2)Ndege mpya za kisasa (3rd Generation) 14. Kenya mpo na ndege 5 pekee(2nd Generation) very very old.
Alshabab wamewatoa kamasi JW habari ingine! Sikia tu magazetini na TVOmbeni mechi tuone nani kenge baina yetu, hivi Tanzania mna jeshi la wanamaji kweli? Au meli za kivita hata moja.
Najua mnao wale wapasua matofali wa maonyesho, ila pia nakumbuka kuna kipindi mlifanya maonyesho ya kulipua minazi kwenye fukwe...hehehe
Kama meli zao mbili mitumba toka Spain wana F5 mitumba toka Jordan!Ninyi ni vichaa, weka hapa picha na link inayoonyesha Kenya kuna F-16. Nchi fukara kama Kenya hamuwezi kuwa na F-16 in our generation time.
haha while your biggest is 63 m kns Nyayo is 60meters jasiri iko ligi nyingine standing 85metersTanzania iko na uwezo kupita Kenya, ndio sababu tumenunua
1)Meli mpya kubwa zaidi ya MV Jasiri 2
2)Ndege mpya za kisasa (3rd Generation) 14. Kenya mpo na ndege 5 pekee(2nd Generation) very very old.
Haha ata Morocco Wana f 16Hahahaha, mkinunua F-16 hata moja tu, nijulisheni, nitoke kabisa hapa JF, itakua ndio mwisho wangu Mimi kuwa hapa JF.
Hakuna nchi hata moja hapa Africa yenye kumiliki F-16, hata Egypt haina F-16. Hahahaha, Hahahaha, endeleeni kuota.
Acha dharauOmbeni mechi tuone nani kenge baina yetu, hivi Tanzania mna jeshi la wanamaji kweli? Au meli za kivita hata moja.
Najua mnao wale wapasua matofali wa maonyesho, ila pia nakumbuka kuna kipindi mlifanya maonyesho ya kulipua minazi kwenye fukwe...hehehe
Zama za kubishana kuhusu nani mbabe zilikwishapita. Mnahitaji kuja Tanzania kujifunza uokoaji na pia kujifunza jinsi ya kupambana na Alshabaab. Askari wenu hata ukiwaona wakiwa kwenye doria na zana walizonazo hadi unashangaa, hawa watu wanadhani wanafanya doria ya kukamata vibaka au the warlords? njoo uone doria za JWTZ tunatumia armored fighting vehicles (AFV) . Mnakwenda kupambana na ALshabaabu na AK47 na pickup na trucks, halafu you don't move in formation, you move utadhani msafara wa harusi.Ombeni mechi tuone nani kenge baina yetu, hivi Tanzania mna jeshi la wanamaji kweli? Au meli za kivita hata moja.
Najua mnao wale wapasua matofali wa maonyesho, ila pia nakumbuka kuna kipindi mlifanya maonyesho ya kulipua minazi kwenye fukwe...hehehe
Lete ushahidi wacha kupiga domo tupu, ni Jordan tu ndio waliuziwa F-16. Ninyi Kenya hamuwezi kuuziwa hata "wing" ya F-16.Haha ata Morocco Wana f 16