Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Usije ukakimbia dogo(Hii inagonga Nairobi na kuiteketea na kuwa majivu kabla ya ndege zenu kuruka)
Hizi ni Radar za kivita
Hizi ni Radar za kivita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka vitu heavy weight bana .Kijana hebu punguza shobo kwanza kabla ya kuongea fanya research nakupatia mvua ndogo ndogo
View attachment 1244081
View attachment 1244084
Ombeni mechi tuone nani kenge baina yetu, hivi Tanzania mna jeshi la wanamaji kweli? Au meli za kivita hata moja.
Najua mnao wale wapasua matofali wa maonyesho, ila pia nakumbuka kuna kipindi mlifanya maonyesho ya kulipua minazi kwenye fukwe...hehehe
Don't just go to google and pick pictures, Show us weapons za Tanzania sio picha za nchi zingine [emoji1787][emoji1787]Kijana hebu punguza shobo kwanza kabla ya kuongea fanya research nakupatia mvua ndogo ndogo
View attachment 1244081
View attachment 1244084
Tanzania People's Defence Force iko kwenye peace keeping missions huko Darfur Suda, Congo DR, na Lebanon. TPDF ndio treaners wa UPDF na wako DRC pia wakitoa mafunze kwa jeshi la DRC. Unataka nini tena? Pia ujue kuwa Tanzania hatuna military basya nchi yoyote nchini kama ilivyo Kenya, Tz tunajiamini, TPDF ni jeshi imara, TPDF tosha [emoji123][emoji123]Heheee...na mbona hamjawai jihusisha kwenye peace keeping missions Kama Kenya na Ethiopian
There is nothing special there, hata South Sudan wako na hizi mikebe.Usije ukakimbia dogo(Hii inagonga Nairobi na kuiteketea na kuwa majivu kabla ya ndege zenu kuruka)
View attachment 1244087
Hizi ni Radar za kivita
View attachment 1244091
Hizo ndege vita ambazo zinashindwa hata kujua Alshabaab wamejificha wapi ili wawashambulie!Kenya Air Force - 209aircrafts
Tanzania Airlines Force - 30 aircraft
Hahaha hivi unadhani hapo siyo Tanzania? Hiyo ndiyo Tanzania kijana. Naona umeanza kutepeta sasaDon't just go to google and pick pictures, Show us weapons za Tanzania sio picha za nchi zingine [emoji1787][emoji1787]
Don't joke, KDF in action huko SomaliaHizo ndege vita ambazo zinashindwa hata kujua Alshabaab wamejificha wapi ili wawashambulie!
Vv
Vv
Hahahaha, mziki huo mnauona?, vyote hivyo ni vipya havijafikisha miaka 10 tangu tumenunua. Never and never again compare TPDF with your ujinga.Soviet era bullcrap
Naona umeanza kutepeta tepetepeThere is nothing special there, hata South Sudan wako na hizi mikebe.
Nimesema hizi mikebe hata South Sudan wako nazo, there is nothing special in them.Hahaha hivi unadhani hapo siyo Tanzania? Hiyo ndiyo Tanzania kijana. Naona umeanza kutepeta sasa
View attachment 1244104
Check vizuri kijana usiogope sana
View attachment 1244106
View attachment 1244107
Soviet era machines..yaani mwazitumia silaha Aina moja na ISISHahahaha, mziki huo mnauona?, vyote hivyo ni vipya havijafikisha miaka 10 tangu tumenunua. Never and never again compare TPDF with your ujinga.
Adi BurundiNimesema hizi mikebe hata South Sudan wako nazo, there is nothing special in them.
Pwahahahaha!!!Don't joke, KDF in action huko Somalia View attachment 1244113
Izi ni mikebe zilizopakwa rangiUsije ukakimbia dogo(Hii inagonga Nairobi na kuiteketea na kuwa majivu kabla ya ndege zenu kuruka)
View attachment 1244087
Hizi ni Radar za kivita
View attachment 1244091
Nothing special there, you are showing us IVECO Lories [emoji23][emoji23][emoji23].
Umeanza kuogopa sio?, hizo zote ulizoonyeshwa ndio hizi hapa,Don't just go to google and pick pictures, Show us weapons za Tanzania sio picha za nchi zingine [emoji1787][emoji1787]
Waelewa maana ya foreign military base?Tanzania People's Defence Force iko kwenye peace keeping missions huko Darfur Suda, Congo DR, na Lebanon. TPDF ndio treaners wa UPDF na wako DRC pia wakitoa mafunze kwa jeshi la DRC. Unataka nini tena? Pia ujue kuwa Tanzania hatuna military basya nchi yoyote nchini kama ilivyo Kenya, Tz tunajiamini, TPDF ni jeshi imara, TPDF tosha [emoji123][emoji123]
Vv
VV
Onyesheni Surface to air missiles zenu. Hahahaha, msijaribu kugusa moto mkali sana huuIzi ni mikebe zilizopakwa rangi