Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
AaaamenHi ni yako, rafiki yangu mpendwa trudie
Mwenyezi Mungu akubariki katika ulichopewa na umshukuru aliyekupa, na afike kuwa mkubwa, na uruzukiwe wema wake. Na aliyepongezwa atamuombea aliyempongeza kwa kumwambia:
''Mwenyezi Mungu akubariki na ateremshe baraka juu yako, na Mwenyezi Mungu akujaze kheri, na Mwenyezi Mungu akuruzuku mfano wake, na afanye nyingi thawabu zako.''View attachment 2603405
Wa kikeπWakike au wakiume
Hongera kwake
Kila la kheri kwake. ππHi ni yako, rafiki yangu mpendwa trudie
Mwenyezi Mungu akubariki katika ulichopewa na umshukuru aliyekupa, na afike kuwa mkubwa, na uruzukiwe wema wake. Na aliyepongezwa atamuombea aliyempongeza kwa kumwambia:
''Mwenyezi Mungu akubariki na ateremshe baraka juu yako, na Mwenyezi Mungu akujaze kheri, na Mwenyezi Mungu akuruzuku mfano wake, na afanye nyingi thawabu zako.''View attachment 2603405
Bado zamu yako, dada deboo wa form 4 liva.
Ni kweli, coz "life is all about family"Hongera sana kupata binti mrembo kama mama yake
Asante ππ - Kwa niaba yake,Watoto ni baraka .Hongera sana .
Asanteππ- kwa niaba yakeHongera kwake
If it's serious ππ, Wish you a lot of love and glory.
Serious mkuuπ€π€, mtoto hata mwezi hajamaliza. Unataka apigwe picha??Bila picha ni chai