Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #41
I mean no malice to nobody, life is all about choices and viewHii iwafikie wale member wa KATAA NDOA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I mean no malice to nobody, life is all about choices and viewHii iwafikie wale member wa KATAA NDOA
Nmefika bwana shemeji
Hongera sana trudieHi ni yako, rafiki yangu mpendwa trudie
Mwenyezi Mungu akubariki katika ulichopewa na umshukuru aliyekupa, na afike kuwa mkubwa, na uruzukiwe wema wake. Na aliyepongezwa atamuombea aliyempongeza kwa kumwambia:
''Mwenyezi Mungu akubariki na ateremshe baraka juu yako, na Mwenyezi Mungu akujaze kheri, na Mwenyezi Mungu akuruzuku mfano wake, na afanye nyingi thawabu zako.''View attachment 2603405
Asante sana sana ...soon nitarudi kwenye mapishi nimemiss kuona cake za Saint AnneHongeraaa babe mama trudie
Ndio maana kapotea kule jukwaa la mapishi [emoji1637]
Martenity njema dada.
Asante sana wa kike mkuu...Wakike au wakiume
Hongera kwake
Kila la kheri kwake. [emoji109][emoji109]
Amina na asanteni sana [emoji173]Hongera sana kupata binti mrembo kama mama yake
Watoto ni baraka .Hongera sana .
Shukrani sana wakuuHongera kwake
Asante sana....ile siku ndio kwanza alikuwa na siku chache nasoma story usiku nilicheka kwa nguvu sana hadi aliamka, nahisi hadi ndugu vyumbani mwao walishangaaHongera sana kwake
Niliona mahali kwa Uzi wa story ya Analyse kama sikosei
Alisema kuna sehemu alicheka kwa nguvu hadi akaamsha kichanga chake
Asante sana, tunatimiza maandiko ya kuijaza dunia, elimu bure [emoji3][emoji3]Hongera Sana Sana Umeweza
Tanzania Itaendelea Kwa Idadi Ya Watu, Elimu Bure Tuzae Bila Uvivu
Kataa ndoa sasa inahusikaje hapo..Hii iwafikie wale member wa KATAA NDOA
Naona Ukikaa bila kummisso sis ake huridhiki kabisaa haha!!
Ulicheka hadi ukamshirikisha na kichanga 😅😅😅Asante sana....ile siku ndio kwanza alikuwa na siku chache nasoma story usiku nilicheka kwa nguvu sana hadi aliamka, nahisi hadi ndugu vyumbani mwao walishangaa
Hahahahaa mkuu sijawahi kuwa wife wake jamaa anatafutaga kiki tuu akiona hana cha kuanzishia uzi.Trudie ndiyo yule mwanamke aliyekuwa wife wa Member Chizi maarifa?
Hongera zake sana.