Amen asante sana [emoji3059][emoji3059]Hongera sana na Mungu akukuzie kababy girl kako[emoji3059]
Asante sana mkuuKataa ndoa sasa inahusikaje hapo..
Hongera Trudie
Kataa ndoa
Amina asante sana [emoji3059][emoji3059]Naona Ukikaa bila kummisso sis ake huridhiki kabisaa haha!!
Watoto ni baraka kichaa akee Much congrats to her Mungu awajalie afya njema na uzima telee wote mama na mtoto na mama arikave na kukomaa haraka!!
Nikicheka sana mkuu, ule story kuna matukio mpaka leo nikikumbuka huwa nacheka. Nina rafiki yangu dalali wa nyumba basi nikikumbuka ile part yako unamwambia dalali kwani hataki kuhamia nyumba nzuri navunjika mbavu.Ulicheka hadi ukamshirikisha na kichanga [emoji28][emoji28][emoji28]
Asante sana mkuu, mpe hongera pia maana analelewa na baba yake na mama yake tena kwa upendo mkubwa. Mungu kanifanyia baraka naomba iendelee kuwa baraka daima.Hongera yake,ila pole kwa mtoto maana atalelewa na Mama peke yake bila Baba.
Amina asante sana [emoji3059][emoji3059]Hongera kwake dear,
Watoto ni faraja, abarikiwe ktk kumpa malezi mema na bora ya kumpendeza yeye.
Madalali wanajua kufosi sana, yani hata kama haupo tayari 😅😅Nikicheka sana mkuu, ule story kuna matukio mpaka leo nikikumbuka huwa nacheka. Nina rafiki yangu dalali wa nyumba basi nikikumbuka ile part yako unamwambia dalali kwani hataki kuhamia nyumba nzuri navunjika mbavu.
[emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]Amina asante sana [emoji3059][emoji3059]
Chizi pande hizi kuna positive vibes tuu hutanipa makasiriko halafu baada ya kujua ni chizi kweli sio jina tuu nikaapia sitakupa kiki tena no matter uzi gani utauanzisha.Hivi ni nani ALIKUJA KUDAI MTOTO KWA MUMEWE HUMU JF? YAANI WALITIANAH HUKO NA KUZALISHANA. MUME AKAENDA KUCHUKUA MTOTO MKE AKAJA KUDAI JF.... WANAWAKE WENGINE UKIAMBIWA UCHAGUE NA KITUMBUA UNACHAGUA KITUMBUA. USELESS KABISA.
Waoh hongera trudie
Asanteni sana. Watoto ni furaha na baraka ndani ya nyumba.Hongera mpendwa kwa kuongeza furaha ndani ya nyumba
Mabinti wamekuwa wawili sasa? Hongera sanaAsanteni sana wanajukwaa wote nimepokea pongezi kwa furaha sana. Mungu mwema nimepata binti mrembo sana. Bro Intelligent businessman thank you alot i appriciate you kinomanoma know that....You mean no malice to nobody[emoji3526][emoji3526]
Imetajwa familia. To me, familia inahusisha ndoaKataa ndoa sasa inahusikaje hapo..
Hongera Trudie
Kataa ndoa
Ushazoea kuzalisha na kuacha ety eehHongera yake,ila pole kwa mtoto maana atalelewa na Mama peke yake bila Baba.
Asante sana, ndio nina mabinti wawili sasa namshukuru Mungu kwa baraka hii.Mabinti wamekuwa wawili sasa? Hongera sana
Mwenyewe mpaka nimemshangaa sana as if ananijua vizuri. Sema simlaumu mtu akishang'atwa na nyoka hata jani likimgusa hustuka. Econometrician with time you will heal mkuu nakuombea sana.Ushazoea kuzalisha na kuacha ety eeh
Hongera sana best.Asante sana sana ...soon nitarudi kwenye mapishi nimemiss kuona cake za Saint Anne