econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kwani Kinana alipokuwa katibu mkuu wa CCM kipindi cha JK hakukuwa na hivo vitu? Dkt Mvungi kauawa kipindi Kinana hayupo CCM? Je! Dkt Ulimboka alitekwa na kunyofolewa meno kipindi gani? Pinda anatoa agizo kuwa na wapigwe tu kipindi gani? Je! Yuke Mwandishi wa Habari wa Chanel Teni Marehumu Daudi Mwangosi aliuawa Iringa? Dkt Slaa alivunjwa mkono kipindi cha Bashiru eeh? Jaman mbon wasaulifu hivo? Mnaweka wapi akili zenu? Ayah matukio yapo miaka na miaka sema safari ile yaliwakuta wenyewe ambao wanajua kutengeneza maneno na kuandika stori zao kwenye vyombo vya habari!
Yani Leo ushasahau kuwa JAKAYA alitoa amri ya kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar 2015 kinana akiwa ndiye katibu mkuu wa chama na Nape Katibu mwenezi! Serious leo unatarajia ushindani serious kweli! Nakushangaa sana ndugu yangu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kulinganisha jakaya na huyo muuaji.