Hongera Kinana, CCM tunayoifahamu imerudi!

Hongera Kinana, CCM tunayoifahamu imerudi!

Kwani Kinana alipokuwa katibu mkuu wa CCM kipindi cha JK hakukuwa na hivo vitu? Dkt Mvungi kauawa kipindi Kinana hayupo CCM? Je! Dkt Ulimboka alitekwa na kunyofolewa meno kipindi gani? Pinda anatoa agizo kuwa na wapigwe tu kipindi gani? Je! Yuke Mwandishi wa Habari wa Chanel Teni Marehumu Daudi Mwangosi aliuawa Iringa? Dkt Slaa alivunjwa mkono kipindi cha Bashiru eeh? Jaman mbon wasaulifu hivo? Mnaweka wapi akili zenu? Ayah matukio yapo miaka na miaka sema safari ile yaliwakuta wenyewe ambao wanajua kutengeneza maneno na kuandika stori zao kwenye vyombo vya habari!

Yani Leo ushasahau kuwa JAKAYA alitoa amri ya kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar 2015 kinana akiwa ndiye katibu mkuu wa chama na Nape Katibu mwenezi! Serious leo unatarajia ushindani serious kweli! Nakushangaa sana ndugu yangu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Huwezi kulinganisha jakaya na huyo muuaji.
 
Hauko siriaz wewe,Kinana huyu tunaemjua yakuwa ndie kinara wa sisi ndio Ccm wenywe,ambao wapo kupora rasilimali za Taifa tu,sio kuwakomboa wananchi,timu yao ni hii hapa,
JK
NAPE
MZEE MAKAMBA
JANUARY
MEMBE
LOWASA
na washirika wao,hawa ndo tabu,shida kwa Taifa letu
Mko narrow minded , you dont see the bigger picture.
 
Acha urongo wewe.Mporaji namba moja Tanzania alikuwa JPM akapora wanyama akapeleka Burigi akapora mali za Serikali kujenga jiji na ikulu Chato.
Hauko siriaz wewe,Kinana huyu tunaemjua yakuwa ndie kinara wa sisi ndio Ccm wenywe,ambao wapo kupora rasilimali za Taifa tu,sio kuwakomboa wananchi,timu yao ni hii hapa,
JK
NAPE
MZEE MAKAMBA
JANUARY
MEMBE
LOWASA
na washirika wao,hawa ndo tabu,shida kwa Taifa letu
 
Kwani Kinana alipokuwa katibu mkuu wa CCM kipindi cha JK hakukuwa na hivo vitu? Dkt Mvungi kauawa kipindi Kinana hayupo CCM? Je! Dkt Ulimboka alitekwa na kunyofolewa meno kipindi gani? Pinda anatoa agizo kuwa na wapigwe tu kipindi gani? Je! Yuke Mwandishi wa Habari wa Chanel Teni Marehumu Daudi Mwangosi aliuawa Iringa? Dkt Slaa alivunjwa mkono kipindi cha Bashiru eeh? Jaman mbon wasaulifu hivo? Mnaweka wapi akili zenu? Ayah matukio yapo miaka na miaka sema safari ile yaliwakuta wenyewe ambao wanajua kutengeneza maneno na kuandika stori zao kwenye vyombo vya habari!

Yani Leo ushasahau kuwa JAKAYA alitoa amri ya kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar 2015 kinana akiwa ndiye katibu mkuu wa chama na Nape Katibu mwenezi! Serious leo unatarajia ushindani serious kweli! Nakushangaa sana ndugu yangu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umezungumza ukweli kuwa CCM ni chama cha wauaji, watekaji na watesaji, wanaoendesha siasa primitive, ambazo kwa kawaida huendeshwa na watu wajinga. Uovu wao unatofautiana tu katika kiwango kwa kutegemea kiongozi wa wakatî husika ni mwovu wa kiasi gani.
 
Kwa hakika sie CCM, hasa tuliokuwa wanachama waasisi, tumefurahi sana kurudi kwa Kinana uongozini CCM.

CCM ya hoja,
CCM ya mshikamano
CCM ya umoja
CCM ya kutetea haki na misingi ya ubinadamu.
CCM ambayo hata kumpinga kiongozi kwa hoja huna wasiwasi wa kutembelewa na wasiojulikana.
CCM ya kuheshimu kila binadamu
CCM iliyoondoa ukanila
CCM ya kudumisha muungano

Hii ndiyo CCM tunayoifahamu.

Karibu tena Omrade Kinana.
Naishangaa furaha yako. Ina maana kwamba hakuwepo wa kufaa ktk wanachama wetu wote? Huyu alipaswa kuwa mshauri tu na sio kurejea madarakani tena.

Busara tungezipata pale ambapo wangealikwa kushauri.

Sasa naamini msemo wa JK kuwa CCM ina wenyewe, wengine tupo kuwasindikiza hao wenye chama
 
Acha urongo wewe.Mporaji namba moja Tanzania alikuwa JPM akapora wanyama akapeleka Burigi akapora mali za Serikali kujenga jiji na ikulu Chato.
Mie ni mfia Nchi sio chama,wizi au uharifu haupimwi kwenye mzani,nia ndio hupimwa,alieiba mia akakizi hitaji lake,ila ni mwizi,alieiba bilioni akakizi hitaji lake nae ni mwizi,kama huyo alijenga uwanja chato hatamwondolea huyu tuhuma zake
 
Anacheza kama Hapi
EeeenHeee Heeee!

Wewe 'jamaa' sikujua kuwa uko hivi!

Watu wa ajabu sana ndani ya nchi hii.

Kidogo unitie ngeu, shauri ya kumsema Magufuli kuwa laghai..., unakumbuka?

Mara nikakusikia na 'contractors' mnavyoneemeka, lakini hapo hapo husemi neema hizo zinapatikana chini ya Waziri yule yule uliyetaka afutiliwe mbali!

Siku hizi simsikii sana pacha wako 'Masopyakindi', kuna jambo linamsibu?

Jameni, tuweni wakweli kwa nafsi zetu, namna hii wanasiasa watakuwa wanatucheza kama mpira.

Nimeona nikujadili, badala ya mada yako, kwa sababu sijui ukweli wako upo wapi hasa na hizi mada.
 
Ni kweli walimwambia sana mkwere,yakuwa chama kunamfia mkononi mwake,leo kinana ni wa kupongezwa?kuwen siriaz basi
Maneno hayo yalitoka kwa wapinzani. Unatarajia mpinzani wako ukutabirie mazuri kwenye kilele cha demokrasia na Uhuru wa habari (kwa kiwango chetu).
 
Hauko siriaz wewe,Kinana huyu tunaemjua yakuwa ndie kinara wa sisi ndio Ccm wenywe,ambao wapo kupora rasilimali za Taifa tu,sio kuwakomboa wananchi,timu yao ni hii hapa,
JK
NAPE
MZEE MAKAMBA
JANUARY
MEMBE
LOWASA
na washirika wao,hawa ndo tabu,shida kwa Taifa letu
Ile Tshs 1.5 Trilioni ulipata mgao?
 
Kwa hakika sie CCM, hasa tuliokuwa wanachama waasisi, tumefurahi sana kurudi kwa Kinana uongozini CCM.

CCM ya hoja,
CCM ya mshikamano
CCM ya umoja
CCM ya kutetea haki na misingi ya ubinadamu.
CCM ambayo hata kumpinga kiongozi kwa hoja huna wasiwasi wa kutembelewa na wasiojulikana.
CCM ya kuheshimu kila binadamu
CCM iliyoondoa ukanila
CCM ya kudumisha muungano

Hii ndiyo CCM tunayoifahamu.

Karibu tena Omrade Kinana.
Kama ni ile ile tunayoifahamu ya tangu enzi za Mwalimu basi itapendeza sana !! Ccm ya wafanyakazi na wakulima !! Kweli karibu sana !!!
 
Umezungumza ukweli kuwa CCM ni chama cha wauaji, watekaji na watesaji, wanaoendesha siasa primitive, ambazo kwa kawaida huendeshwa na watu wajinga. Uovu wao unatofautiana tu katika kiwango kwa kutegemea kiongozi wa wakatî husika ni mwovu wa kiasi gani.
Duh!
 
Siasa inabadilika kila uchao.
Ukitekwa au ukibambikwa kesi Awamu nii niPM.
Warudisheni hawa vijana mliowateka, Hadi Leo familia zao zinalia hawajui wako wapi. acheni siasa
20220209_173959.jpg
 
Maneno hayo yalitoka kwa wapinzani. Unatarajia mpinzani wako ukutabirie mazuri kwenye kilele cha demokrasia na Uhuru wa habari (kwa kiwango chetu).
Nyie wenyewe CCM ndio mlikiri kuwa hamna budi kwenda na mwendazake ili kuokoa chama. Na mabango 2015 mlibadilisha ikawa sio chagua CCM Bali chagua Magufuli[emoji1787]
Lakini pia nyie si mlizomeana ukumbini huko Dodoma? Mkasema hamna Imani na mwenyekiti?
 
Hakuna CCM ambayo ilikuwa mahututi kama CCM ya 2015 kurudi nyuma! Ni CCM ambayo ilikuwa 50/50!

Nakumbuka 2015 ilifika hatua ata Mabango ya "CHAGUA CCM" hamna yakawa tu "CHAGUA MAGUFULI" watu walikuwa wanauliza CCM hainadiki sasahivi kama vile Magufuli alibeba zigo tu la mavi nakusema ukweli ata mimi ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza namchagua mtu wa CCM, JPM! Sikuhitaji sera zake ila nilikuwa naiman na utendaji wake tangia akiwa Waziri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ni kweli, zile ndizo zilikuwa harufu za ubabe, udikteta usikuma na ushamba wa kusukuma. Maana haikuishia hapo tu mwendazaka pia aliweza kuthubutu kusema serikali ya Magufuli kitu ambacho hata Hon Mkapa alikikemea kwa nguvu sana.

Alichokuwa anatakiwa akifanye ni kuandika chagua CCM chagua Magufuli.

Kiukweli tangu aondoke mwendazake wasiojulikana wametoweka.
 
Ccm ya kuiba Kura imerudi.
Samia kapewa ujanja.
Rudisha hao 2025 utapita kirahisi
 
Back
Top Bottom