ACHIKOYO
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 312
- 352
Tatizo lako unaona CCM ya ndugu yako chini ya wale wasijulikana ya unyang'anyi wa wafanya biashara watesi wa akina Lissu, Zacharia na wengine wengi haitowi kasoro kwa vile na wewe mwenyewe labda ulikuwa unanufaika.Hauko siriaz wewe,Kinana huyu tunaemjua yakuwa ndie kinara wa sisi ndio Ccm wenywe,ambao wapo kupora rasilimali za Taifa tu,sio kuwakomboa wananchi,timu yao ni hii hapa,
JK
NAPE
MZEE MAKAMBA
JANUARY
MEMBE
LOWASA
na washirika wao,hawa ndo tabu,shida kwa Taifa letu
Leo akina Musiba wamebaki kulia lia tu akina Makonda hali ni mbaya Sabaya na wenzake wanajijua wenyewe, hawa walikuwa mawazo ya kijinga kabisa, walijua kuwa Magufuli atakuwa wa milele.