Hongera Kinana, CCM tunayoifahamu imerudi!

Tatizo lako unaona CCM ya ndugu yako chini ya wale wasijulikana ya unyang'anyi wa wafanya biashara watesi wa akina Lissu, Zacharia na wengine wengi haitowi kasoro kwa vile na wewe mwenyewe labda ulikuwa unanufaika.

Leo akina Musiba wamebaki kulia lia tu akina Makonda hali ni mbaya Sabaya na wenzake wanajijua wenyewe, hawa walikuwa mawazo ya kijinga kabisa, walijua kuwa Magufuli atakuwa wa milele.
 
Wale vijana wa5 wambao mamazao wanalia walichukuliwa na wasiojulikana unawajua walipo?

Nakukumbusha tu kuwa ile kazi ya kuprint mabango 2015 hakuifanya Magufuli mwenyewe, ila mwenyekiti wa chama JK na timu yake ndo wakijua wakaprint wapi mabanngo na waandikaje!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwendazake wala asingepita hakuwa na issue.Tangu akiwa Waziri alikuwa na vi elements vya udikteta dikteta.
Sema kosa la kumkata Lowasa kwa kumuonea ikapelekea wafuasi wake (wajumbe) kulipiza kisasi kwa kumnyima kura the next most competent candidate ambae waliona anabebwa na wenye MAMLAKA.
 
Ndiyo maana hujui hata kuandika neno Comradi. Akili finyu tu
 
Ni Wakati wa CCM ya kinana, Kama Taifa tuliposhuhudia mauaji ya Kinyama ya Mwangosi, Machinga Moro, Mabom Olasit, Kumwagiwa tindikali kwa Saidi Kubenea wa Mwanahalisi halisi acha hii iliyochakachuliwa na kuumizwa kwa Absalom Kibanda.
Ni demokrasia ya Wakati huo iliyosababisha kuvamiwa kwa Mikutano ya hadhara ya CDM Songea, Morogoro na Arusha na kusababisha mauaji na maumivu kwa wapigania demokrasia ya kweli .
 
Sasa ni mwendo wa kutetema tu.
Maana timu sasa imeeenea kasoro kipa tu labda.
 
Hapo unajichanganya sasa, watu walikuambia hao chama kilitaka kuwafia. Ukasema sio kweli, ndio nikakukumbusha kuwa walienda kwa mwendazake ili kukiokoa.

Unahisi kwa nini wasingeenda na huyo most competent? Walihofu nini ikiwa walikua wanakubalika?
 
Uzuri ni kwamba kumbukumbu ya maovu ya chama chako unayo vizuri. Ila mwendazake alivunja rekodi, aliua hata ndama anayenyonya kisa tu ameshindwa kutaja jina lake vizuri.
 
Uzuri ni kwamba kumbukumbu ya maovu ya chama chako unayo vizuri. Ila mwendazake alivunja rekodi, aliua hata ndama anayenyonya kisa tu ameshindwa kutaja jina lake vizuri.
Sijawahi kumiliki kadi ya chama chochote ila nishatumikia chama kimoja tu kabla ya 2015, ni Chadema chini ya Makene baada ya hapo sikuitumikia CCM japo nilimkubali Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania 2025 tuna kazi ya kuirudisha tz kwa watz maana kifuatacho kinafurahisha
 
@Masopyakindi
 
Pole sana kama ulimwagiwa tindikali, at least you lived to tell the tale.
Tutafutie na Ben Saanane alikopotelea kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…