Hongera kocha wa Taifa Stars kwa kuwa mkweli. Taifa stars haijaenda AFCON kushindana

Hongera kocha wa Taifa Stars kwa kuwa mkweli. Taifa stars haijaenda AFCON kushindana

Na kwanini mpaka Asubuhi hii ( Leo ) Jumatano TFF haijamfuta Kazi? Mnajitambua kweli nyie?

Hivi Serikali ya Tanzania inajua Athari ya Kidiplomasia ya Kauli yake kwa nchi ya Morocco ambayo inaisaidia mambo kadhaa na muhimu Tanzania?

Na hata Wizara ya Mambo ya Nje nanyi Nawalaumu kwani mlipaswa mlichukulie hatua hili haraka sana kwa Maslahi mapana ya Tanzania na Morocco Kimahusiano.

Algeria anakotoka Kocha wa Taifa Stars kwa muda mrefu sasa imekuwa katika Mgogoro na nchi ya Morocco hivyo huyu Mpuuzi na Kocha mbovu wa Taifa Stars anataka Kutuingiza Tanzania katika Ugomvi usiotuhusu na tusiouhitaji.

Tafadhali afukuzwe haraka sana Ok?
Kwani alisema nini mkuu? Hebu tudokeze kwamza kabla yatujaanza kumlaumu
 
Na kwanini mpaka Asubuhi hii ( Leo ) Jumatano TFF haijamfuta Kazi? Mnajitambua kweli nyie?

Hivi Serikali ya Tanzania inajua Athari ya Kidiplomasia ya Kauli yake kwa nchi ya Morocco ambayo inaisaidia mambo kadhaa na muhimu Tanzania?

Na hata Wizara ya Mambo ya Nje nanyi Nawalaumu kwani mlipaswa mlichukulie hatua hili haraka sana kwa Maslahi mapana ya Tanzania na Morocco Kimahusiano.

Algeria anakotoka Kocha wa Taifa Stars kwa muda mrefu sasa imekuwa katika Mgogoro na nchi ya Morocco hivyo huyu Mpuuzi na Kocha mbovu wa Taifa Stars anataka Kutuingiza Tanzania katika Ugomvi usiotuhusu na tusiouhitaji.

Tafadhali afukuzwe haraka sana Ok?
Kasema nini? Sijakisikia
 
Kwani alisema nini mkuu? Hebu tudokeze kwamza kabla yatujaanza kumlaumu
Amesema kuwa Shirikisho la Soka Afrika ( CAF ) linaipendelea sana nchi ya Morocco kwakuwa ni Taifa Tajiri na linaipangia Ratiba nyepesi ili Kuibeba katika Mashindano mbalimbali tofauti na nchi zingine ( ikiwemo yake ya Algeria ) ambayo inachukiwa na CAF.
 
Kaulii ganiii....sijasikia jana nilikuwa mbalii
Amesema kuwa Shirikisho la Soka Afrika ( CAF ) linaipendelea sana nchi ya Morocco kwakuwa ni Taifa Tajiri na linaipangia Ratiba nyepesi ili Kuibeba katika Mashindano mbalimbali tofauti na nchi zingine ( ikiwemo yake ya Algeria ) ambayo inachukiwa na CAF.
 
Kasema nini? Sijakisikia
Amesema kuwa Shirikisho la Soka Afrika ( CAF ) linaipendelea sana nchi ya Morocco kwakuwa ni Taifa Tajiri na linaipangia Ratiba nyepesi ili Kuibeba katika Mashindano mbalimbali tofauti na nchi zingine ( ikiwemo yake ya Algeria ) ambayo inachukiwa na CAF.
 
Sasa kasema nini uandiki unaweka maelezo meengi quote alichosema uzi uchangamke au we sio conc genta
Amesema kuwa Shirikisho la Soka Afrika ( CAF ) linaipendelea sana nchi ya Morocco kwakuwa ni Taifa Tajiri na linaipangia Ratiba nyepesi ili Kuibeba katika Mashindano mbalimbali tofauti na nchi zingine ( ikiwemo yake ya Algeria ) ambayo inachukiwa na CAF.
 
Na kwanini mpaka Asubuhi hii ( Leo ) Jumatano TFF haijamfuta Kazi? Mnajitambua kweli nyie?

Hivi Serikali ya Tanzania inajua Athari ya Kidiplomasia ya Kauli yake kwa nchi ya Morocco ambayo inaisaidia mambo kadhaa na muhimu Tanzania?

Na hata Wizara ya Mambo ya Nje nanyi Nawalaumu kwani mlipaswa mlichukulie hatua hili haraka sana kwa Maslahi mapana ya Tanzania na Morocco Kimahusiano.

Algeria anakotoka Kocha wa Taifa Stars kwa muda mrefu sasa imekuwa katika Mgogoro na nchi ya Morocco hivyo huyu Mpuuzi na Kocha mbovu wa Taifa Stars anataka Kutuingiza Tanzania katika Ugomvi usiotuhusu na tusiouhitaji.

Tafadhali afukuzwe haraka sana Ok?
Acha TFF wampe onyo sio Rais.....saa 100.....TFF watoe onyo na kuomba radhi CAF
 
Amesema kuwa Shirikisho la Soka Afrika ( CAF ) linaipendelea sana nchi ya Morocco kwakuwa ni Taifa Tajiri na linaipangia Ratiba nyepesi ili Kuibeba katika Mashindano mbalimbali tofauti na nchi zingine ( ikiwemo yake ya Algeria ) ambayo inachukiwa na CAF.
Du! Huyu hafai. Afutwe kazi mara moja.
 
Na kwanini mpaka Asubuhi hii ( Leo ) Jumatano TFF haijamfuta Kazi? Mnajitambua kweli nyie?

Hivi Serikali ya Tanzania inajua Athari ya Kidiplomasia ya Kauli yake kwa nchi ya Morocco ambayo inaisaidia mambo kadhaa na muhimu Tanzania?

Na hata Wizara ya Mambo ya Nje nanyi Nawalaumu kwani mlipaswa mlichukulie hatua hili haraka sana kwa Maslahi mapana ya Tanzania na Morocco Kimahusiano.

Algeria anakotoka Kocha wa Taifa Stars kwa muda mrefu sasa imekuwa katika Mgogoro na nchi ya Morocco hivyo huyu Mpuuzi na Kocha mbovu wa Taifa Stars anataka Kutuingiza Tanzania katika Ugomvi usiotuhusu na tusiouhitaji.

Tafadhali afukuzwe haraka sana Ok?
Kwani kasemaje?
 
Kama mpaka leo hujui au hujajua nini amekisema jana Kocha Mkuu wa Taifa Stars wakati Redio na Tv Stations pamoja na Mitandao imetangaza na Kuandika na mpaka Rais wa TFF Wallace Karia nae amemshutumu Kocha Mkuu huyo basi utakuwa ni Mpumbavu wa Kudumu na huna Akili.
Kiongozi weka uzi ukamilike.siyo wote humu wanafuatilia TV.wengine tunaiamini jf kuliko hizo tv na magazeti.
 
Sasa watu wanaomba dua zao nayeye anawakatisha tamaa? Afadhali angekaa kimya tu. Hata kama mwanao kiraza mpe moyo [emoji22]
Dua hazisaidii kama hatuna mafundi wa kushindana kisoka hamasa duwa na mambo mengine wafanyayo ni ujinga tu hatuna uwekezaji kwenye mpira tunaanzaje kuwa moto kwenye timu kubwa na watu wanaojielewa
 
Na kwanini mpaka Asubuhi hii ( Leo ) Jumatano TFF haijamfuta Kazi? Mnajitambua kweli nyie?

Hivi Serikali ya Tanzania inajua Athari ya Kidiplomasia ya Kauli yake kwa nchi ya Morocco ambayo inaisaidia mambo kadhaa na muhimu Tanzania?

Na hata Wizara ya Mambo ya Nje nanyi Nawalaumu kwani mlipaswa mlichukulie hatua hili haraka sana kwa Maslahi mapana ya Tanzania na Morocco Kimahusiano.

Algeria anakotoka Kocha wa Taifa Stars kwa muda mrefu sasa imekuwa katika Mgogoro na nchi ya Morocco hivyo huyu Mpuuzi na Kocha mbovu wa Taifa Stars anataka Kutuingiza Tanzania katika Ugomvi usiotuhusu na tusiouhitaji.

Tafadhali afukuzwe haraka sana Ok?
Nilitaka ni kujibu badaye nikarudi kuangalia jina nikaona khaa kumbe ni huyu, kichaaa.
 
Kombe si tulikubaliana lunakuja bongo? Imekuaje tena
 
Miji
Ukweli lazima usemwe na ukweli humuweka mtu huru.

Kocha wa taifa stars anajua uwezo wa wachezaji wa taifa stars, hivyo ameamua kusema ukweli...."kwamba kwa kikosi hiki, taifa stars haitoboi. Hivyo tumekuja kutalii na kuwapa changamoto wachezaji kwa manufaa ya baadaye".

Tujifunze kuwa wakwelj kama kocha wa taifa stars. Hivi kweli Kuna mtanzwnia anaamini taifa stars itavuka hata makundi? Kwa wachezaji gani?

Mungu mbariki kocha wa taifa stars.
[/QUOT
Mijitu yenye mind set ya kushindwa😠,siifagilii hata kidg
 
Back
Top Bottom