Hongera kocha wa Taifa Stars kwa kuwa mkweli. Taifa stars haijaenda AFCON kushindana

Hongera kocha wa Taifa Stars kwa kuwa mkweli. Taifa stars haijaenda AFCON kushindana

Ukweli lazima usemwe na ukweli humuweka mtu huru.

Kocha wa taifa stars anajua uwezo wa wachezaji wa taifa stars, hivyo ameamua kusema ukweli...."kwamba kwa kikosi hiki, taifa stars haitoboi. Hivyo tumekuja kutalii na kuwapa changamoto wachezaji kwa manufaa ya baadaye".

Tujifunze kuwa wakwelj kama kocha wa taifa stars. Hivi kweli Kuna mtanzwnia anaamini taifa stars itavuka hata makundi? Kwa wachezaji gani?

Mungu mbariki kocha wa taifa stars.
Kayasema wapi hayo, kuna link?
 
Ukweli lazima usemwe na ukweli humuweka mtu huru.

Kocha wa taifa stars anajua uwezo wa wachezaji wa taifa stars, hivyo ameamua kusema ukweli...."kwamba kwa kikosi hiki, taifa stars haitoboi. Hivyo tumekuja kutalii na kuwapa changamoto wachezaji kwa manufaa ya baadaye".

Tujifunze kuwa wakwelj kama kocha wa taifa stars. Hivi kweli Kuna mtanzwnia anaamini taifa stars itavuka hata makundi? Kwa wachezaji gani?

Mungu mbariki kocha wa taifa stars.
Hivi kwanini wabongo huwa mnajidharau sana?!! hamjiamini?!!!

Tizama timu ndogo zinavyo zihenyesha timu kubwa kwenye michuano hii.

Tanzania inaweza kabisa kushinda endapo watajiamini na kujituma kwa bidii na maarifa.

Tumeona Mali, Mozambique, brukinafaso, Namibia, nk.

Watanzania tusiwe na tabia ya kukatishana tamaa.
 
Taifa Stars itawashangaza Watanzania.

Mimi naamini watafanya vizuri sana.
 
Kocha hana kosa ukweli mchungu Taifa Stars haitoboi huko AFCON labda ingekuwa ni uchaguzi mkuu wangeiba kura kama CCM ndio ishinde
 
Na kwanini mpaka Asubuhi hii ( Leo ) Jumatano TFF haijamfuta Kazi? Mnajitambua kweli nyie?

Hivi Serikali ya Tanzania inajua Athari ya Kidiplomasia ya Kauli yake kwa nchi ya Morocco ambayo inaisaidia mambo kadhaa na muhimu Tanzania?

Na hata Wizara ya Mambo ya Nje nanyi Nawalaumu kwani mlipaswa mlichukulie hatua hili haraka sana kwa Maslahi mapana ya Tanzania na Morocco Kimahusiano.

Algeria anakotoka Kocha wa Taifa Stars kwa muda mrefu sasa imekuwa katika Mgogoro na nchi ya Morocco hivyo huyu Mpuuzi na Kocha mbovu wa Taifa Stars anataka Kutuingiza Tanzania katika Ugomvi usiotuhusu na tusiouhitaji.

Tafadhali afukuzwe haraka sana Ok?
Hata mm naona hili lifanyike tuende na kocha msaidizi tu naona jama amechoka kuishi DSM
 
Na kwanini mpaka Asubuhi hii ( Leo ) Jumatano TFF haijamfuta Kazi? Mnajitambua kweli nyie?

Hivi Serikali ya Tanzania inajua Athari ya Kidiplomasia ya Kauli yake kwa nchi ya Morocco ambayo inaisaidia mambo kadhaa na muhimu Tanzania?

Na hata Wizara ya Mambo ya Nje nanyi Nawalaumu kwani mlipaswa mlichukulie hatua hili haraka sana kwa Maslahi mapana ya Tanzania na Morocco Kimahusiano.

Algeria anakotoka Kocha wa Taifa Stars kwa muda mrefu sasa imekuwa katika Mgogoro na nchi ya Morocco hivyo huyu Mpuuzi na Kocha mbovu wa Taifa Stars anataka Kutuingiza Tanzania katika Ugomvi usiotuhusu na tusiouhitaji.

Tafadhali afukuzwe haraka sana Ok?
Genta maisha yako yamekua magumu sana hapa GF
 
Hakuna sababu ya kujipa Pressure na Stress; Ndio maana underdogs huwa wanashinda wanakwenda pale ku-enjoy and giving their all (haimaanishi kutokujipa stress za bure ni kuogopa)...., Ukijipa matumaini makubwa inaweza kupelekea uoga wa kushindwa..

Kwahio hii pia ni mbinu ya mashindano / kushindana
 
Sasa watu wanaomba dua zao nayeye anawakatisha tamaa? Afadhali angekaa kimya tu. Hata kama mwanao kiraza mpe moyo [emoji22]
Mchezo wa mpira hauhitaji Dua. Ni suala la uwezo na matokeo uwanjani.
 
Mpaka sasa hakuna waarabu waliopata ushindi
Tuombe Mungu tusiwe wa kwanza kuwa mserereko
 
Ukweli lazima usemwe na ukweli humuweka mtu huru.

Kocha wa taifa stars anajua uwezo wa wachezaji wa taifa stars, hivyo ameamua kusema ukweli...."kwamba kwa kikosi hiki, taifa stars haitoboi. Hivyo tumekuja kutalii na kuwapa changamoto wachezaji kwa manufaa ya baadaye".

Tujifunze kuwa wakweli kama kocha wa taifa stars. Hivi kweli Kuna mtanzania anaamini taifa stars itavuka hata makundi? Kwa wachezaji gani?

Mungu mbariki kocha wa Taifa Stars.
Kocha mshenzy!!! Anatakiwa awe mnafiki, sio kukatisha watu tamaa, mbwa huyo!
 
Ukimjua mtu hakupi shida..

Ingekua wewe ndo umenitusi ningejiuliza mara mbili😄

Tena hapo mods wame edit ungeona post yenyewe ungenionea huruma

Amenipa matusi ya Good morning!!
😂😂😂 matusi ya good morning..haya ndio nayasikia leo sasa!!kwel elim haina mwisho
 
Back
Top Bottom