Hongera kocha wa Taifa Stars kwa kuwa mkweli. Taifa stars haijaenda AFCON kushindana

Hongera kocha wa Taifa Stars kwa kuwa mkweli. Taifa stars haijaenda AFCON kushindana

Huwa najiuliza wale wachezaji wetu wanaoishi abroad nao hamna kitu!
Huko wanacheza timu za vichochoroni au
Wanachezea ligi daraja la tano England .

Amahl Anaechezea ligi daraja la kwanza Norway na kuwa mfungaji mwenye magoli mengi kocha hakumuhitaji .

Benard kamungo anaevuma ligi daraja la kwanza USA alikuja kuchezea Tanzania baadae akabadilisha mawazo amerudi kuchezea usa .
 
Ukweli lazima usemwe na ukweli humuweka mtu huru.

Kocha wa taifa stars anajua uwezo wa wachezaji wa taifa stars, hivyo ameamua kusema ukweli...."kwamba kwa kikosi hiki, taifa stars haitoboi. Hivyo tumekuja kutalii na kuwapa changamoto wachezaji kwa manufaa ya baadaye".

Tujifunze kuwa wakweli kama kocha wa taifa stars. Hivi kweli Kuna mtanzania anaamini taifa stars itavuka hata makundi? Kwa wachezaji gani?

Mungu mbariki kocha wa Taifa Stars.
Source?
 
Unachekesha.

Mbona ya Feisal Salum aliingilia kati.

Hivi kwanini wabongo huwa mnajidharau sana?!! hamjiamini?!!!

Tizama timu ndogo zinavyo zihenyesha timu kubwa kwenye michuano hii.

Tanzania inaweza kabisa kushinda endapo watajiamini na kujituma kwa bidii na maarifa.

Tumeona Mali, Mozambique, brukinafaso, Namibia, nk.

Watanzania tusiwe na tabia ya kukatishana tamaa.
Sasa kocha wa taifa Stars aliyepewa dhamana ya kuinoa timu ndiyo anasema hakuna kitu hapa. Wewe nani unabisha?

Hivi kweli unajilinganisha na Mali? Unajua uwekezaji wa Mali ktk mpira? Mozambique akina Micquesone wanocheza Simba kama professional footballer lkn wala hajaitwa kwenye timu ya taifa. Unaelewa maana yake?? Yaani maana yake Micquesone ni kilaza kule Mozambique.

Kocha kaongea ukweli mtupu.
 
Morocco 1 - 0 CCM (dakika ya 40).

Hongera kocha kwa kusema ukweli kuwa mmeenda kufanya utalii.
 
Morocco 3 - 0 CCM (dakika ya 80).

Hongera kocha wa taifa stars kwa kusema ukweli.
 
Sasa watu wanaomba dua zao nayeye anawakatisha tamaa? Afadhali angekaa kimya tu. Hata kama mwanao kiraza mpe moyo [emoji22]
Watu pekee wanaoitakia mema hii timu Ili baadae wake kutusimanga ni MbogaMboga pekee tuliobaki tunatamanj ibamizwe na kuchakazwa vibaya vibaya.
 
Watu pekee wanaoitakia mema hii timu Ili baadae wake kutusimanga ni MbogaMboga pekee tuliobaki tunatamanj ibamizwe na kuchakazwa vibaya vibaya.
Bora hii taifa stars itolewe ili kelele za inzi wa kijani zisiwepo.
 
Ukweli lazima usemwe na ukweli humuweka mtu huru.

Kocha wa taifa stars anajua uwezo wa wachezaji wa taifa stars, hivyo ameamua kusema ukweli...."kwamba kwa kikosi hiki, taifa stars haitoboi. Hivyo tumekuja kutalii na kuwapa changamoto wachezaji kwa manufaa ya baadaye".

Tujifunze kuwa wakweli kama kocha wa taifa stars. Hivi kweli Kuna mtanzania anaamini taifa stars itavuka hata makundi? Kwa wachezaji gani?

Mungu mbariki kocha wa Taifa Stars.
Kuna watu watambishia kwa kusema ukweli huu eti kwakuwa wana matumaini ya ambacho hawakukipanda.
 
Back
Top Bottom