Wanachezea ligi daraja la tano England .Huwa najiuliza wale wachezaji wetu wanaoishi abroad nao hamna kitu!
Huko wanacheza timu za vichochoroni au
Amahl Anaechezea ligi daraja la kwanza Norway na kuwa mfungaji mwenye magoli mengi kocha hakumuhitaji .
Benard kamungo anaevuma ligi daraja la kwanza USA alikuja kuchezea Tanzania baadae akabadilisha mawazo amerudi kuchezea usa .