Wanachezea ligi daraja la tano England .Huwa najiuliza wale wachezaji wetu wanaoishi abroad nao hamna kitu!
Huko wanacheza timu za vichochoroni au
Source?Ukweli lazima usemwe na ukweli humuweka mtu huru.
Kocha wa taifa stars anajua uwezo wa wachezaji wa taifa stars, hivyo ameamua kusema ukweli...."kwamba kwa kikosi hiki, taifa stars haitoboi. Hivyo tumekuja kutalii na kuwapa changamoto wachezaji kwa manufaa ya baadaye".
Tujifunze kuwa wakweli kama kocha wa taifa stars. Hivi kweli Kuna mtanzania anaamini taifa stars itavuka hata makundi? Kwa wachezaji gani?
Mungu mbariki kocha wa Taifa Stars.
Unachekesha.
Mbona ya Feisal Salum aliingilia kati.
Sasa kocha wa taifa Stars aliyepewa dhamana ya kuinoa timu ndiyo anasema hakuna kitu hapa. Wewe nani unabisha?Hivi kwanini wabongo huwa mnajidharau sana?!! hamjiamini?!!!
Tizama timu ndogo zinavyo zihenyesha timu kubwa kwenye michuano hii.
Tanzania inaweza kabisa kushinda endapo watajiamini na kujituma kwa bidii na maarifa.
Tumeona Mali, Mozambique, brukinafaso, Namibia, nk.
Watanzania tusiwe na tabia ya kukatishana tamaa.
Hao ccm ndiyo wanaoitia nuksi taifa stars.Kama ni kweli amesema hivyo anatukosea sana sisi ccm hajui namna tulivyoangaika kushawi michango ya taifa stars ..
[emoji3]Kesho tunakufa 3-0
Hongera kwa utabiri uliotimiaKesho tunakufa 3-0
Watu pekee wanaoitakia mema hii timu Ili baadae wake kutusimanga ni MbogaMboga pekee tuliobaki tunatamanj ibamizwe na kuchakazwa vibaya vibaya.Sasa watu wanaomba dua zao nayeye anawakatisha tamaa? Afadhali angekaa kimya tu. Hata kama mwanao kiraza mpe moyo [emoji22]
Bora hii taifa stars itolewe ili kelele za inzi wa kijani zisiwepo.Watu pekee wanaoitakia mema hii timu Ili baadae wake kutusimanga ni MbogaMboga pekee tuliobaki tunatamanj ibamizwe na kuchakazwa vibaya vibaya.
Kuna watu watambishia kwa kusema ukweli huu eti kwakuwa wana matumaini ya ambacho hawakukipanda.Ukweli lazima usemwe na ukweli humuweka mtu huru.
Kocha wa taifa stars anajua uwezo wa wachezaji wa taifa stars, hivyo ameamua kusema ukweli...."kwamba kwa kikosi hiki, taifa stars haitoboi. Hivyo tumekuja kutalii na kuwapa changamoto wachezaji kwa manufaa ya baadaye".
Tujifunze kuwa wakweli kama kocha wa taifa stars. Hivi kweli Kuna mtanzania anaamini taifa stars itavuka hata makundi? Kwa wachezaji gani?
Mungu mbariki kocha wa Taifa Stars.
Kwa team ile na kwa uchezaji ule nachelea kusema kuwa mpaka sasa timu yetu ndio mbovu kuliko zote AFCONSio jambo la kufurahi!
Ila hongera kwa utabiri