Hongera,kutoka kwenye utumishi,hatimaye kuwa mkulima makini.

Hongera,kutoka kwenye utumishi,hatimaye kuwa mkulima makini.

Nduli Iringa shamba alilonitapeli nilipomuwekea miundombinu ya umwagiliaji ekari 10. Pumbavu huyo, sema nimehama Iringa ila ningeenda kukatakata hizo drip nilizoinstall
Mara kadhaa nimeona unalalamika hapa JF kudhulumiwa na huyo jamaa.Pole sana mkuu.

Gharama ya kuweka hizo drip kwa Hilo shamba lote Ni kiasi gani mkuu(roughly)?
 
Back
Top Bottom