wa kupuliza JF-Expert Member Joined Jun 15, 2012 Posts 15,216 Reaction score 37,757 Sep 21, 2022 #21 Kinengunengu said: Nduli Iringa shamba alilonitapeli nilipomuwekea miundombinu ya umwagiliaji ekari 10. Pumbavu huyo, sema nimehama Iringa ila ningeenda kukatakata hizo drip nilizoinstall Click to expand... Mara kadhaa nimeona unalalamika hapa JF kudhulumiwa na huyo jamaa.Pole sana mkuu. Gharama ya kuweka hizo drip kwa Hilo shamba lote Ni kiasi gani mkuu(roughly)?
Kinengunengu said: Nduli Iringa shamba alilonitapeli nilipomuwekea miundombinu ya umwagiliaji ekari 10. Pumbavu huyo, sema nimehama Iringa ila ningeenda kukatakata hizo drip nilizoinstall Click to expand... Mara kadhaa nimeona unalalamika hapa JF kudhulumiwa na huyo jamaa.Pole sana mkuu. Gharama ya kuweka hizo drip kwa Hilo shamba lote Ni kiasi gani mkuu(roughly)?