Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naungana na weweSijui story imekaaje ila jamaa ni mstarabu sana
Naungana na wewe
Wabrazil wengi ninaowafahamu ni walokole watu wa dini sana na ni wastaarabu. Mfano wachezaji wa Liverpool pale akina Fabinho, Alison na enzi hizo Firmino, Coutinho walikuwa ni watu wa imani sana walokole wa ubatizo wa maji mengi.Kijana mtu wa dini sana.
Kwa hilo, wametupita kwa kweli. Wana Roho na utu mzuri sana.Mzungu mzungu tu,usikute jamaa hana mshahara mkubwa wala maisha makubwa lkn moyo wa kusaidia anao,akina sisi sasa ndugu tu humtaki
Yule kaka siku hz ni pastor, kuna yule golikipa alidaka WC 94 Marekani nae ni RevWabrazil wengi ninaowafahamu ni walokole watu wa dini sana na ni wastaarabu. Mfano wachezaji wa Liverpool pale akina Fabinho, Alison na enzi hizo Firmino, Coutinho walikuwa ni watu wa imani sana walokole wa ubatizo wa maji mengi.
Mara kadhaa hata wakiwa mapumzikoni kwao Brazil wanaimba kwanya makanisani.
Hawa jamaa wanatuzidi hapo tuKwa hilo, wametupita kwa kweli. Wana Roho na utu mzuri sana.
unamtindio sio bureSahivi wana msifia mnoo, ngoja mtoto akue, aamue akae upande upi kwenye sexual orientation, tusikie lawama km mile za kwa Madonna
Yesu...Sahivi wana msifia mnoo, ngoja mtoto akue, aamue akae upande upi kwenye sexual orientation, tusikie lawama km mile za kwa Madonna
Sio kweli asilimia kubwa ya wabrazili ni wapenda starehe kina dinho,delima,andriano jamaa walikuwa wakikesha usiku na malaya pamoja na ulevi alafu asubuhi yake wanaingia mazoezi.Wabrazil wengi ninaowafahamu ni walokole watu wa dini sana na ni wastaarabu. Mfano wachezaji wa Liverpool pale akina Fabinho, Alison na enzi hizo Firmino, Coutinho walikuwa ni watu wa imani sana walokole wa ubatizo wa maji mengi.
Mara kadhaa hata wakiwa mapumzikoni kwao Brazil wanaimba kwanya makanisani.