NYOTA YA JAAH
Senior Member
- Sep 14, 2022
- 142
- 220
Naunga mkono hoja jamn hata mi nataka ikiwa inawezekana mweh.Hivi kuasili ina limitation ya umri, nikiomba mtu anichukue kama hivo inawezekana? Au niache ujinga...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja jamn hata mi nataka ikiwa inawezekana mweh.Hivi kuasili ina limitation ya umri, nikiomba mtu anichukue kama hivo inawezekana? Au niache ujinga...
Majority ni Catholics lakini sio WOTE kama ulivyosisitiza.Wabrazil wote katoliki, sema ni kalismatic/emaus.
Uniasili nikakae nje ya nchi sio humu humu mara urambo mara shinyanga😁Nadhani haina umri Mkuu, vipi naweza kukuasili? 😅
Inabidi uwe na mke kwanzaHivi taratibu za hii zipoje mana na mm nataka nikachukue mmoja
🤣🤣🤣🤣🤣Hahaha wewe Eve umebakiwa na chance moja tu, tafuta li anko la kizungu...
Ndio unachowish kitokee😡Sahivi wana msifia mnoo, ngoja mtoto akue, aamue akae upande upi kwenye sexual orientation, tusikie lawama km mile za kwa Madonna
Hivi kuasili ina limitation ya umri, nikiomba mtu anichukue kama hivo inawezekana? Au niache ujinga...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23]
acha ujinga, option iliyobaki kwako ni kutafuta mzee wa kizungu akuoe
Sent using Jamii Forums mobile app
Akishaadoptiwa maana yake ana haki ya kutumia jina hilo jipya la ubini na kuwa na uraia wa hao wazazi wapyaIla huyo mtoto je atabadilishwa uraia au ataendelea kuwa Mtanzania. Na je ubin wake utabadilishwa? Maana naona sogo yeye ana passport ya Tanzania.
Mwenye uelewa kuhusu sheria za adoption za hapa Tanzania atupe somo.
Anakuja kukaa hapa home mana mana nitaoa mwakaniInabidi uwe na mke kwanza
OK...taratibu zipoAnakuja kukaa hapa home mana mana nitaoa mwakani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imekufikiia penyewee, sio kwa kulipuka hukoo.unamtindio sio bure
Na Maria [emoji23][emoji23][emoji23]Yesu...
Humu humu ndiyo pazuri Mkuu, unapelekwa Mtwara kula ming'oko au unapelekwa Morogoro ukale magimbi au unapelekwa Mwanza ukale Sato 😅Uniasili nikakae nje ya nchi sio humu humu mara urambo mara shinyanga😁
Ukiniasili si unanishughulikia na kila kitu kaka