Hongera kwa Bruno Gomes kwa kuasili (adopt )mtoto pale Singida

Hongera kwa Bruno Gomes kwa kuasili (adopt )mtoto pale Singida

Yani wewe kamata Mmarekani wako funga ndoa imeisha hiyo ubalozini usumbuliwi hata chembe, unalamba viza kiulani na Uraia uko njiani.

Hili linchi la matozo unaweza kufa siku si zako, hapafai kabisa.
Huyo mmarrekani ndio namtafuta hadi chini ya bahari matola, kama upo nje nichukue basi
 
Huyo mmarrekani ndio namtafuta hadi chini ya bahari matola, kama upo nje nichukue basi
Nimeshakuwa family man sasa, aisee kama siyo familia huniweki Bongo hata kwa viboko, yani kwa sasa nikisafiri nje ni short stay tu.

Yani ukiacha kujichanganya pili acheni ubahiri, usiingie dating site za free, jiunge na dating site za kulipia utakuja kunishukuru, make sure bank account yako una Viza card inayokupa access ya kufanya malipo direct kutoka kwenye account yako kwenda popote.

Halafu hizo account zenu za Facebook safisha kabisa ondowa matakataka au funguwa mpya.

In six month period utakuja kutowa testimony hapa.
 
Wabrazil wengi ninaowafahamu ni walokole watu wa dini sana na ni wastaarabu. Mfano wachezaji wa Liverpool pale akina Fabinho, Alison na enzi hizo Firmino, Coutinho walikuwa ni watu wa imani sana walokole wa ubatizo wa maji mengi.

Mara kadhaa hata wakiwa mapumzikoni kwao Brazil wanaimba kwanya makanisani.
Umemsahau Kaka .
 
Wabrazil wengi ninaowafahamu ni walokole watu wa dini sana na ni wastaarabu. Mfano wachezaji wa Liverpool pale akina Fabinho, Alison na enzi hizo Firmino, Coutinho walikuwa ni watu wa imani sana walokole wa ubatizo wa maji mengi.

Mara kadhaa hata wakiwa mapumzikoni kwao Brazil wanaimba kwanya makanisani.
Huijui Brazil wewe,watu wanakula nyama za binaadam!!
 
Safi sana brother wema ni vitendo. Jokes....mm pia nataka kuasili mke wake
 
Mfano wa site nmeona kwa gara b juzi watu wamekutana dating site ni marich kids nigeria vs tanzania sema wote wanaishi london
Nimeshakuwa family man sasa, aisee kama siyo familia huniweki Bongo hata kwa viboko, yani kwa sasa nikisafiri nje ni short stay tu.

Yani ukiacha kujichanganya pili acheni ubahiri, usiingie dating site za free, jiunge na dating site za kulipia utakuja kunishukuru, make sure bank account yako una Viza card inayokupa access ya kufanya malipo direct kutoka kwenye account yako kwenda popote.

Halafu hizo account zenu za Facebook safisha kabisa ondowa matakataka au funguwa mpya.

In six month period utakuja kutowa testimony hapa.
 
Mzungu mzungu tu,usikute jamaa hana mshahara mkubwa wala maisha makubwa lkn moyo wa kusaidia anao,akina sisi sasa ndugu tu humtaki
Sio kweli katika jamii ambazo zinaongoza kubebana ni waafrica mtoto wa mjomba na wa mashangazi kila familia wapo..
 
Ila huyo mtoto je atabadilishwa uraia au ataendelea kuwa Mtanzania. Na je ubin wake utabadilishwa? Maana naona sogo yeye ana passport ya Tanzania.

Mwenye uelewa kuhusu sheria za adoption za hapa Tanzania atupe somo.
Kwa uelewa wangu kuña malezi ya kambo ..foster care ,na adoption ...Kiasili.Malezi ya kambo ni pale mtoto anapochukuliwa Kwa malezi ya muda! Kuasili ni pale mtoto aliyekuwa ktk malezi ya kambo,anapohalalishwa kuwa mtoto wa kisheria wa Walezi wa kambo! Maana yake anabadilisha na urai! Kwa wàgeni mchakato wake una urasimu kidogo..sasa sijui Gomez Kwa kipindi alichokaa Singida amwezaje kuasili mtoto...pengine mwandishi kakosea amemchukua kwa malezi ya kambo...kuelekea kuasili!
Kama ameasili basi mleta mada umesha wachongea watu huko🤭🤭
 
ukiwa na Mungu kila kitu unaongozwa kwa roho mtakatifu hongera sana Bruno
 
Back
Top Bottom