Humu humu ndiyo pazuri Mkuu, unapelekwa Mtwara kula ming'oko au unapelekwa Morogoro ukale magimbi au unapelekwa Mwanza ukale Sato [emoji28]
Wahi kujaza fomu uniletee mapema [emoji125][emoji125]
Mwache alete pozi atakuja kutafuta nafasi za bariadi akute zimeshajaa