Hongera kwa Bruno Gomes kwa kuasili (adopt )mtoto pale Singida

Hongera kwa Bruno Gomes kwa kuasili (adopt )mtoto pale Singida

Sahivi wana msifia mnoo, ngoja mtoto akue, aamue akae upande upi kwenye sexual orientation, tusikie lawama km mile za kwa Madonna
Hapo Ndipo Pabaya Na Kwakuwa Warmley Wao Tena Kwao
Mtoto Anaweza Kupindwa Vizuri Tukabaki Midomo Wazi
 
Nyinyi ndoa ndio saizi yenu, tena unapata Uraia faster tu.

Mfano Marekani viza rahisi kuliko zote ni ya spouse viza.
Sasa hao wamarekani wa kutuoa tunawatoa wapi? Na wanatuoa then tukipata visa tunapita hivi si ndio?
 
hilo ni shoga achana nalo kama mi muongo lifatilie humu kwny thread zote anachoandka n zle za kufukuliwa mavi. Ni shoga huyo hata uspoteze muda nae hapo linaombea uyo mtoto achague kuwa choko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukute huyo unae mueleza, ananifahamu kuliko hata wee, kaa kwa nywilaaa.
 
Sasa hao wamarekani wa kutuoa tunawatoa wapi? Na wanatuoa then tukipata visa tunapita hivi si ndio?
Acha kujifungia ndani, jichanganye, jumapili kama leo unajilipuwa tu dompo yako unakwenda kunywea sea cliff hotel.

Bado ujawahi kujiuliza kwa nini mademu mnaowaona ni Malaya ndio wanapata connection za wanaume wa mbele?

Halafu Nina kashemeji kangu kamemuokota Mganda ana Uraia wa Marekani kwenye dating site, basi yule jamaa akaja kweli kumuoa tena ndoa ya kiislamu Mimi nikimcheck yule jamaa nikajuwa huu ni usanii mtupu.

Huwezi kuamini yule jamaa alivyorudi Marekani kamtumia pesa na spouse documents za kupeleka US Embassy akachukuwa viza kiraini, hivi saa hizi yupo kwa Biden ndoto zake zipo alive.
 
Hapo Ndipo Pabaya Na Kwakuwa Warmley Wao Tena Kwao
Mtoto Anaweza Kupindwa Vizuri Tukabaki Midomo Wazi
Mie nimetoa tahadhari kabisaa, sio baadae tuanze kusikia lawamaa hapaa, wabongo hawakawii hata
 
Back
Top Bottom