aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
- Thread starter
- #21
Imekaa kama ilivyoandikwa na amefanya jambo jemaSijui story imekaaje ila jamaa ni mstarabu sana
ndugu lawamaMzungu mzungu tu,usikute jamaa hana mshahara mkubwa wala maisha makubwa lkn moyo wa kusaidia anao,akina sisi sasa ndugu tu humtaki
sasa anaongea kireno vema tuIla huyo mtoto je atabadilishwa uraia au ataendelea kuwa Mtanzania. Na je ubin wake utabadilishwa? Maana naona sogo yeye ana passport ya Tanzania.
Mwenye uelewa kuhusu sheria za adoption za hapa Tanzania atupe somo.
Baadaye lazima uraia abadili