Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Kwa tabia ya baadhi watz kutaka kushauri na kuchambua na hata kukosoa mataifa makubwa Kama Us China kwenye mambo waliooshindwa
Nisengeshangaa kuwashauri Wanyarwanda
Endeleeni kuitana huku muendelee kujadili mambo yenu 🙏
INGAwa bado natamani Sana umoja wa EA ufikie level za juu kiasi kwamba nchi zote ziwe majimbo na nchi moja ya EA
Nisengeshangaa kuwashauri Wanyarwanda
Endeleeni kuitana huku muendelee kujadili mambo yenu 🙏
INGAwa bado natamani Sana umoja wa EA ufikie level za juu kiasi kwamba nchi zote ziwe majimbo na nchi moja ya EA