Mtego wa nn?Mtego huu
Im gladItakuwa wewe ni churaless
Tena nyie wa kimya kimya huwa mna msururu wa hatari. Unakuta umezipanga njemba kama 20 hivi.Napenda kutoa hongera kwa wanawake wenzangu wote ambao wanadate kimya kimya bila showoff kwenye social media.
Hakuna picha hakuna video wala hakuna story yoyote tunayoshea social media kuonesha tupo inlove sie twala kimya kimya.
Mungu atubariki ili tendelee kuajiri tuendelee ku hire hivi viumbe vinavoitwa wanaume mpaka pale mtu sahihi wakua commitment nae atakapopatikana.
ππ»ππ»ππ»ππ»πNapenda kutoa hongera kwa wanawake wenzangu wote ambao wanadate kimya kimya bila showoff kwenye social media.
Hakuna picha hakuna video wala hakuna story yoyote tunayoshea social media kuonesha tupo inlove sie twala kimya kimya.
Mungu atubariki ili tendelee kuajiri tuendelee ku hire hivi viumbe vinavoitwa wanaume mpaka pale mtu sahihi wakua commitment nae atakapopatikana.
Uyo kwenye picha nae ameajiriwa?View attachment 3078194
Kuna vitu vingine ni busara tu kutokuwa na show off.
Kumekucha π€£π€£π€£πItakuwa wewe ni churaless
Hapostiwi mtu hapa hata kama unahudumiamkipata wanaume wenye sura konki hamuwapost ila mkipata hawa wavaa vibukta sasa kila muda mnawapost
π πTupo almost miaka nane ila hata picha tulopiga pamoja hakuna.ila tunapendana balaa japo Niko single.
Highest level of sarcasm πππView attachment 3078194
Kuna vitu vingine ni busara tu kutokuwa na show off.
Tunajali maslai yetu hakuna cha kukuheshimisha hapo π€£Asante kwa kuni heshimisha shangazi...
Ni mwendo wa kutoa ajira tu mpaka mtu sahihi apatikane! Uzuri wa ajira tunazowapa wao ndo wanatulipa mishaharaTena nyie wa kimya kimya huwa mna msururu wa hatari. Unakuta umezipanga njemba kama 20 hivi.
Bora wanaojitangaza.
Maslahi tena.Tunajali maslai yetu hakuna cha kukuheshimisha hapo π€£