Hongera kwa wanawake wote

Hongera kwa wanawake wote

Kama una Mabwana unajaza basi lote la Sauli utakuwaje na ujasiri wa kuwaposti?

Mahusiano ya sasa ukiona unadate Mwanamke halafu Kila baada ya miezi 3 ukienda kupima hukutwi na HIV/UTI/Kaswende/Gono ni jambo la kushukuru Mungu, maana kama kupangwa, Wanaume tunapangwa sana miaka hii 🙌
Nyie mbona mnatupanga wanawake 20 na hatusemi?
 
Napenda kutoa hongera kwa wanawake wenzangu wote ambao wanadate kimya kimya bila showoff kwenye social media.

Hakuna picha hakuna video wala hakuna story yoyote tunayoshea social media kuonesha tupo inlove sie twala kimya kimya.

Mungu atubariki ili tendelee kuajiri tuendelee ku hire hivi viumbe vinavoitwa wanaume mpaka pale mtu sahihi wakua commitment nae atakapopatikana.
Mnakula kimya kimya au mnaliwa kimya kimya.
 
Huwa sioni point ya kuweka mahusiano na maisha yako binafsi mtandaoni kwaajiri ya kuvuna likes.

Its better kukaa tu kimya na kuishi in privacy.
Ni kweli. Mtu huna mahusiano ya kueleweka alafu unashea mwanaume social media huko ni kujikosesha bahati
 
Back
Top Bottom