Hongera kwa wanawake wote

Nyie mbona mnatupanga wanawake 20 na hatusemi?
 
Mnakula kimya kimya au mnaliwa kimya kimya.
 
Huwa sioni point ya kuweka mahusiano na maisha yako binafsi mtandaoni kwaajiri ya kuvuna likes.

Its better kukaa tu kimya na kuishi in privacy.
Ni kweli. Mtu huna mahusiano ya kueleweka alafu unashea mwanaume social media huko ni kujikosesha bahati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…