Hongera Lema kwa kuiacha familia yako Canada maana Arusha sasa iko moto

Hongera Lema kwa kuiacha familia yako Canada maana Arusha sasa iko moto

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Arusha iko moto kama Mamelodi Sundowns, winga Gambo winga Makonda mshambuliaji mzee Sabaya.

Kwa kweli nakushauri Lema rudi Canada ukale hela za bure huko, we unawaambia watu ubunge sio kazi kwako halafu hapo hapo unatangaza kugombea tena kama sio uchizi ni nini.

Unawaambia watu huwezi kwenda bungeni kulalamikia ubadhirifu halmashauri, au huwezi kulilia maji bungeni yaan unasisitiza kabisa you never do that, ushaletewa wababe wa vita, utakuwa mbunge wa mitandaoni tu sasa hv.
 
Makonda amepata demotion misitafute kujifariji. Kwamba tishio kubwa la ccm ni Lema!!! Kaondolewa kiaina tu kumpunguzia aibu. Nafasi ya katibu muenezi Taifa ni kubwa sana, angekuwa vizuri angeisaidia ccm kitaifa siyo kamkoa kamoja. Ukute na app za kina Mange zimechangia. Kama kumkabili Lema mpaka mtumie watu wenye kutajwa kwenye sifa za ujambazi, udhulumaji mbona inatisha.
 
Sisi watu wa Arusha tumefurahi sana kuletewa yale makalio. Machalii wanasema wana hamu na yale matackle yaliyotuna kama maboflo. 🤣
 
Arusha iko moto kama Mamelodi Sundowns, winga Gambo winga Makonda mshambuliaji mzee Sabaya.

Kwa kweli nakushauri Lema rudi Canada ukale hela za bure huko, we unawaambia watu ubunge sio kazi kwako halafu hapo hapo unatangaza kugombea tena kama sio uchizi ni nini.

Unawaambia watu huwezi kwenda bungeni kulalamikia ubadhirifu halmashauri, au huwezi kulilia maji bungeni yaan unasisitiza kabisa you never do that, ushaletewa wababe wa vita, utakuwa mbunge wa mitandaoni tu sasa hv.
Hajaacha famili kwa kutaka bali ni kwa ajili ya kutaka dezo (familia inatunzwa)
 
Arusha iko moto kama Mamelodi Sundowns, winga Gambo winga Makonda mshambuliaji mzee Sabaya.

Kwa kweli nakushauri Lema rudi Canada ukale hela za bure huko, we unawaambia watu ubunge sio kazi kwako halafu hapo hapo unatangaza kugombea tena kama sio uchizi ni nini.

Unawaambia watu huwezi kwenda bungeni kulalamikia ubadhirifu halmashauri, au huwezi kulilia maji bungeni yaan unasisitiza kabisa you never do that, ushaletewa wababe wa vita, utakuwa mbunge wa mitandaoni tu sasa hv.
wote hao wanangooka mapema kabla ya 2025 Lema njia nyeupe mjengoni
 
Arusha iko moto kama Mamelodi Sundowns, winga Gambo winga Makonda mshambuliaji mzee Sabaya.

Kwa kweli nakushauri Lema rudi Canada ukale hela za bure huko, we unawaambia watu ubunge sio kazi kwako halafu hapo hapo unatangaza kugombea tena kama sio uchizi ni nini.

Unawaambia watu huwezi kwenda bungeni kulalamikia ubadhirifu halmashauri, au huwezi kulilia maji bungeni yaan unasisitiza kabisa you never do that, ushaletewa wababe wa vita, utakuwa mbunge wa mitandaoni tu sasa hv.
stupid
 
Back
Top Bottom