Siasa sio kwa ajili yako... ni kwa ajili ya kila mtu na familia yake au maslahi yake... mifano ni mingi
Wewe ni daraja la wale wenye maslahi... ndio maana walikuwapo wale wanao itwa waunga juhudi... watu waka jiuliza, uwezi kuunga juhudi ukiwa huko huko??? Baada ya siku kadhaaa wakapewa vyeo! Hawa ni wana siasa wafia tumbo sio kwa ajili ya wananchi
Hivyo vikao vya maridhiano vya mwenyekti ni kwa ajili ya nini??
Hivyo vikao vya maridhiano vya mwenyekti ni kwa ajili ya nini??
Hii nchi ni tamu, basi tu! Ndio maana lema na wengine wana lia kwa wakati wao na wengine wakati ni ukuta kwao
Unamaanisha mbowe Hana akili?
Ni wewe sasa
Endeleeni kushangaa 😆😆
Politics is business
Mwambieni arudi nyumbani, Lema mhuni tu hamna kitu pale. Anyeweza kusikiliza Lema naye hamnazo.
Mwambie mungu wako aliemuondoa Magufuli bila kumwaga damu aiondoe ccm!
Kwani yeye sio fisadi?Namshangaa mbowe kuwaamini mafisadi wa CCM. Ila CCM siishangai maana ndivyo ilivyo miaka yote.
Kwa hiyo Mbowe ana akili za kawaida?
Kwani yeye sio fisadi?
ni kweli kumbe katiba hii ni nzuri namna hii hakuna haja ya kuibadili mpaka lema mkazi was Canada anainukuu.Wajinga hawaelewi kuwa katiba na sheria vinaruhusu mikutano ya siasa, hivyo ni swala la kufuata katiba na kutii sheria tu na si kukaa vikao kujadili jambo lililoruhusiwa kisheria na kikatiba na hii ndio hoja ya Lema.
Niliwahi sema humu na leo narudiia, "watu wenye akili za kawaida, sometimes ni vigumu kuwaelewa watu wenye akili nyingi au watu wenye akili za ziada ".
Hakuna Hilo Deni acha upotoshaji 👇Shughulikieni deni la trilioni 91, acheni porojo. Mnakataza watu kufanya siasa halafu kiuchumi nchi inadidimia.
UmeshapanicK
Kamuulize mzee makamba.
Sasa mbona mungu wenu hawafurahishi kama mnavyosema aliwafurahisha kwa magufuli?Mungu haitaji kuambiwa atafanya kwa wakati wake. Ila CCM ipo madakani kwa sababu ya jeshi, polisi, bunge na usalama wa taifa basi.
Hii habari kama ni ya kweli Mambuzi na raia kwa ujumla kazi ipo.Genge la wahuni kuliko hawa?
Ujinga wa watanzania ndio unaifanya katiba isiwe na maana yoyote katika kuamua maisha yetu ya kila siku!!. Watanzania wengi tungekuwa na elimu sahihi ya uraia na kuzitambua haki zetu basi viongozi hawa wasingekuwa wanatafuta malidhiano kwenye vitu vilivyowazi kikatiba!!
NInakazia:Hii habari kama ni ya kweli Mambuzi na raia kwa ujumla kazi ipo.