Hongera Lema, ukweli hata kama mchungu shuruti usemwe

Hongera Lema, ukweli hata kama mchungu shuruti usemwe

Mbowe amesema yuko tayari kumpigia Magoti mwenyekiti wa CCM

Lema anamuuliza Mbowe mnajadili nini kwa mambo yanayohitaji utii wa sheria kwa katiba hii hii ya 1977?
Kabisa, lakini watu wana taka kuhalalisha kuwa hakuna aliyesema tofauti...

Kama vikao vile ni batili basi hakuna haja ya mwenyekiti kwenda kila mara kupiga magoti...

Kipindi kile cha JPM walilamba asali wote, wakapanda ndege kwenda mwanza na kurudi ktk sherehe za kitaifa

Leo ana lamba mwenyekiti pekee imekuwa nongwa kila siku vijembe...

Lema ana wageuka wenzie kisa wana kutana ubelgiji na marekani yeye canada ni kama wamemsahau, asali ina mpita
 
Mambo bado magumu.....siasa bhana.Yaan wapo tayari kuumiza tuliochini kwa manufaa yao
Siasa sio kwa ajili yako... ni kwa ajili ya kila mtu na familia yake au maslahi yake... mifano ni mingi

Wewe ni daraja la wale wenye maslahi... ndio maana walikuwapo wale wanao itwa waunga juhudi... watu waka jiuliza, uwezi kuunga juhudi ukiwa huko huko??? Baada ya siku kadhaaa wakapewa vyeo! Hawa ni wana siasa wafia tumbo sio kwa ajili ya wananchi
 
Wajinga hawaelewi kuwa katiba na sheria vinaruhusu mikutano ya siasa, hivyo ni swala la kufuata katiba na kutii sheria tu na si kukaa vikao kujadili jambo lililoruhusiwa kisheria na kikatiba na hii ndio hoja ya Lema.

Niliwahi sema humu na leo narudiia, "watu wenye akili za kawaida, sometimes ni vigumu kuwaelewa watu wenye akili nyingi au watu wenye akili za ziada ".
Hivyo vikao vya maridhiano vya mwenyekti ni kwa ajili ya nini??
 
CCM kila jambo huwa mnaliangalia kwa jicho la kimaslahi. Ndiyo maana MNAIFILISI HII NCHI.
Hii nchi ni tamu, basi tu! Ndio maana lema na wengine wana lia kwa wakati wao na wengine wakati ni ukuta kwao
 
Kuleni tu huo utamu, lakini iko siku mtautapika huo utamu ukiwa na uchungu wa nyongo.
Muulize mwenyekiti wa chama kile na mkimbizi ambaye hawezi rudi nyumbani tena... na akirejea basi na sifa ya ukimbizi ina koma mara moja... ata afe babu mjomba mama shangazi baba, ndicho kina muuma... sasa wenzie wana pambana na asali...
 
Huu ndiyo ulio ukweli mchungu:

View attachment 2443641

Mkwamo wetu uko hapa. Uhai wetu utarejea kwa kujikwamua kutoka hapa.

Ukweli huu ni mwiba mchungu mno kwa ule upande mwingine uliojaa ulaghai na ubinafsi uliopitiliza.
Hili lilipaswa kusemwa toka zamani sioni wanafanya maridhiano gani, vitu maalumu akina mdee ni wabunge hewa kbsa mikutano ya hadhara na shughuli za siasa na uhuru wake viko wazi, Sioni utashi wa huyu Rais katika hayo, wanamtukana Magufuli lakini hawana ujasiri wa kufanya tofauti. Chama Cha mambuzi kweli
 
Muulize mwenyekiti wa chama kile na mkimbizi ambaye hawezi rudi nyumbani tena... na akirejea basi na sifa ya ukimbizi ina koma mara moja... ata afe babu mjomba mama shangazi baba, ndicho kina muuma... sasa wenzie wana pambana na asali...
Maelezo yako yana mparaganyiko sana.
 
Hili lilipaswa kusemwa toka zamani sioni wanafanya maridhiano gani, vitu maalumu akina mdee ni wabunge hewa kbsa mikutano ya hadhara na shughuli za siasa na uhuru wake viko wazi, Sioni utashi wa huyu Rais katika hayo, wanamtukana Magufuli lakini hawana ujasiri wa kufanya tofauti. Chama Cha mambuzi kweli
Tatizo CHADEMA kwa upande wake imeshafanya kinachostahili na watanzania wasio wana CHADEMA wanadhani ni kazi ya CHADEMA kupigania haki zao bila ya wao kushiriki. Mikutano ya hadhara na mambo ya kina Mdee, CHADEMA isilaumiwe.
 
Tatizo CHADEMA kwa upande wake imeshafanya kinachostahili na watanzania wasio wana CHADEMA wanadhani ni kazi ya CHADEMA kupigania haki zao bila ya wao kushiriki. Mikutano ya hadhara na mambo ya kina Mdee, CHADEMA isilaumiwe.
Mwalimu alikuwa na slogan isemayo “ it can be done play your part “ sio kutoa lawama tu !
 
Wajinga hawaelewi kuwa katiba na sheria vinaruhusu mikutano ya siasa, hivyo ni swala la kufuata katiba na kutii sheria tu na si kukaa vikao kujadili jambo lililoruhusiwa kisheria na kikatiba na hii ndio hoja ya Lema.

Niliwahi sema humu na leo narudiia, "watu wenye akili za kawaida, sometimes ni vigumu kuwaelewa watu wenye akili nyingi au watu wenye akili za ziada ".
Unamaanisha mbowe Hana akili?
 
Back
Top Bottom