Hongera LULU umewakilisha mateso ya wanawake Duniani

MAMA hali inaashiria kuwa unamalezi mabaya kwa mabitnti zako. TAFADHALI JITANBULISHE MAPEMA ILI TUSIJEOA KWAKO. OLE WA WATAKAO KUWA WAKWE ZAKO.
 
kifo cha kanumba kinaelekea kutuvunjia heshima wanaume.!!
 
kuna wanawake kabila fulani hukooo ni kawaida kumtanguliza mume kwa mtindo huu ili abakiwe na mali pesa magari nyumba uliza huko kila nyumba ni mama mwenye nyumba baba mwenye nyumba wapi??sasaa kwa lulu alitaka nini hasa?wakati walikuwa hawako kwenye ndoa?huyu msichana balaaaa kweli.
 
Pamoja na hayo yote, mwenye sread umekuwa sadist.Hata hizo haki mnazotafuta sidhani kama mmepewa lksdnce za kuuwa wanaume. Wanawake ndio wanaoongoza kwa kuvizia cm zetu.Tuwaue? Then unampongeza. Jua duniani dume ndio wa kwanza na hatakuwa wa mwisho kamwe hata angekuwa wa mwaka mmoja.Ndiye aliyekabidhiwa dunia aitawale na vilivyoko ikiwa ni pamoja na nyie .I hate ua sread.Sh...t
 
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !
 
...hili tukio linakoelekea mwisho wa siku Lulu ataonekana hero.... Kanumba looser
 

Hivi wewe ni binadaam? Kumbuka tunazungumzia mtu ambaye amefariki! Acheni kuhukumu watu mwacheni Mungu Muumba ndiye awahukumu. Mwacheni marehemu kama alikuwa na mambo ya ajabu ilikuwa wakati wa uhai sasa hayupo tena. Siku yake imefika, na kama zitakapofika za kwetu pia. Hatujui lini wapi wala saa ngapi....
 

Mkuu sidhani kama heading yako ina content ya nzuri ya kumsifu mtu kwa kukadiliwa na kesi ya mauwaji na pia kwakumpoteaza kijana mwenzetu fanya jambo la busara kuirekebisha usifikirie tu kuiwekea mazingira ya kuwavutia walio wengi ili waisome
 

Hakuna sababu yoyote hata kama ni nzuri kiasi gani inayoweza kuhalalisha kutoa roho ya mtu duniani, nadhani tuchukulie tukio hili kama ajali na watu tumrudie Mungu wetu, coz inaonesha walikuwa under certain influence....
 
Ndg Mungu hahangaiki na kahaba
 
Kwani lulu alikuwa mke wake kanumba? Mbona alisema hajaoa? Halafu kuna picha yake nimeiona humu jamvini akiwa yupo kanisani sasa amri ya Sita inasemaje? Na akiwa kama msanii ni kioo cha nini? Kwa maswali hayo na majibu Utakayo kuwa nayo acha afe watakuja wengine
 
Kama unajua siku yake imefika unalalamika nini? Kwasababu usingeweza kuzuia tumfikirie lulu ambaye yupo hai tuwaache wafu wazike wafu wao
 

Gama,tafadhali haimaanishi kuwa kila asiyefurahishwa na vipigo kwa wanawake yupo ndani ya mfumo jike...la hasha...sivyo!!!ninachisema vipigo kwa wanawake vimezidi na jamii inavichukulia kuwa kitu cha kawaida...mara ngapi tunasikia na kushuhudia wanawake wakiuawa au kuumizwa vibaya kwa sababu ya vipigo hv...juzi naangalia star tv mwanamke amegombana na mumewe akameita km ana la kuongea naye akaishia kumgonga na gari na kumburuza dada wawatu,alinusurika kifo lakini kapata kilema cha maisha na bado kalzwa...siamani katika kupigana kurekebisha kasoro kati ya walio ktk uhusiano...ndio maana ktk post yangu nikasema "tunaishia kuwafanyia hivyo wenza wetu,hasaa(msisitizo katika hasa)wanaume kuwapiga wanawake...vipigo havisaidii jamani..lakini ndio tumezungukwa navyo...kiasi kuwa tunaona ni kawaida...kama kwa kuamini hivyo ni mfumo jike basi ndg,I am guilty as charged...
 

Ndio maana wenye hekima wakasema tuviachie vyombo husika viamue kama Lulu alikuwa na makosa au la
Kama alikuwa akijitetea au la
Lakini yote haya huu si wakati wake
Si wakati wa kumnyooshea lulu kidole na si wakati wa kumnyooshea Kanumba kidole
Hata mdogo wake Kanumba amegoma kunyoosha kidole kwa Lulu
Acheni wafiwa waomboleze bila aina hii ya threads
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…