Hongera Maulid Kitenge na Nusrat Hanje kufunga ndoa

Nasikia yule mtoto kwenye tangazo la EATV anasema "You can do only tennis or you can do other exercise" ni wake. Pia alikuwa na mke mtangazaji aliyemzidi Kitenge umri
Mimi tangu 2010 najua alikuwa na wake wawili tukikaa naye pale Mwananyamala Koma Koma.

Sema huyu ni Mwislam uwezo kama upo anaoa hadi wanne
 
Watu wa namna hii wako wengi sana hapa Bongo, kuna wengine wana misuli utadhani ni mabaunsa ila wanaliwa bila kachumbari na wenzao huko mitaani
 

Mbona hata wewe mke wako kuna mahali alisema mtoto wa kwanza sio wako, na ukipiga kimoja unalala usingizi wa nusu kaputi

Ila sisi hatukuamini, mbona wewe unaamini chai za mke wako, akienda kwa yule mzee ndesaruo huwa anakuambia ?
 
Mbona hata wewe mke wako kuna mahali alisema mtoto wa kwanza sio wako, na ukipiga kimoja unalala usingizi wa nusu kaputi

Ila sisi hatukuamini, mbona wewe unaamini chai za mke wako, akienda kwa yule mzee ndesaruo huwa anakuambia ?
Mkuu wewe mpiga ramli au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…