Prisoner of hope
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 2,440
- 2,572
Safi sana, hii ndio akili sasa....sio kuanzisha mashindano ya kiki.Moja ya wasanii ninaowapenda Mbosso amefanikiwa kujenga nyumba nzuri kwa kipindi kifupi alichoanza muziki. Nampa hongera sana, inafurahisha kuona vijana wadogo kama hawa wanapiga hatua katika umri mdogo.View attachment 1059520
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe kilema unaenda kufanya nini hapo kwani amejenga ni hospitali hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yasije yakawa kama ya rosa ree ooh nyumba yangu sjui management wamenipa mara ghafla katimliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona na mimiWatu washafukunyua makaburi,nyumba ipo Tegeta wazo na dalali anaipost Instagram kumtafuta mtu wa kukodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro acha roho ya korosho najua huna kama hiyo na ukiendelea na roho hiyo huenda usiipate.Akwende
Ameeleza bro, yawezekana kwako wewe ikawa ni kitu kidogo sana ila kwake ni kikubwa na inawezekana unadharau ukawa huna ya hivyo hata yenye mfanano wa hiyo ukawa umepanga au unakaa kwenye vijumba vya serikali ukisubiri pensheniTanzania imefika hatua kua na kajumba kama hako ni very big deal mpaka utangaze kilamahali
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaniangusha mkuu, kwani siku hizi watu wananunua viwanja vyeupe au wananunua nyumba na kuifyekelea mbali na kushusha kitu kingine?Kwa mazingira ilipo si rahisi kupata open space na yeye kujenga
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma na hii basi.Watu washafukunyua makaburi,nyumba ipo Tegeta wazo na dalali anaipost Instagram kumtafuta mtu wa kukodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu ni hatua ya awali katika kuelekea safari ya kuwa mchawi.Akwende
Wewe unazo ngapi kama hizo ?Tanzania imefika hatua kua na kajumba kama hako ni very big deal mpaka utangaze kilamahali
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu washafukunyua makaburi,nyumba ipo Tegeta wazo na dalali anaipost Instagram kumtafuta mtu wa kukodi
Sent using Jamii Forums mobile app