Hongera Mdogowangu Wema Sepetu kwa Kufungua Duka

Hongera Mdogowangu Wema Sepetu kwa Kufungua Duka

Bado hajachelewa kwa kuwa colonel sanders yule wa kentucky fried chickens (kfc) alipata utajiri na biashara yake kukua akiwa na miaka 60 hapo ni baada ya ku hustle vibaya mno
 
naongelea kuanza maana wasema angekuwa kaanza mapema angekuwa mbali nakwambia alishaanza mbona.
Halafu mbona huyu mdogo wako hujamcompare na wasanii na ma celeb wa Marekani kama ambayo uliwa comparea akina Mond ukadai uwa wajiuliza wanafanya nini unashangaa mtu kuuza karanga? au comparison zako ziko biased
du nilisahau!
 
Pesa ya walipa kodi ndani ya jiji la darisalama. Walipa kodi ni wengi wafaidio wachache. bashit....ee financing. Ding dong... who is next?
 
kuna wadogo zake wamefika mbali mana walianza mapema, kwa vyvyt vile ye tyr amechelewa mno.
kuna kipind nlikuwa namsikiaga kwenye mitandao lkn ckujua ana kipi kipya.
 
Back
Top Bottom