Jamani ilimradi amechukua hatua mwacheni afanye kazi... sasa mnataka afanyaje? !
Mbona Celebrity America, Nigerians wanamiliki Saloons na Maduka ya Nguo itakuwa Wema?!
Love yaah Wema. You are so sexy. Mmmmh yummy.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani ilimradi amechukua hatua mwacheni afanye kazi... sasa mnataka afanyaje? !
Mbona Celebrity America, Nigerians wanamiliki Saloons na Maduka ya Nguo itakuwa Wema?!
Povu la Omo na Ariel[emoji23][emoji23][emoji23]Upogoo[emoji23] [emoji23] [emoji23]...
Duka la dairekita Joann hill sio lake
Nasubiri povuuuu la safari lager[emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]
Haaahaaaaa
Sawa na maprofesa wetu wa Changanyikeni na Makongo kumiliki vibanda vya chips,magenge,bodaboda na bajaji,then tunawapa hongera kuwa ni wajasiriamali.Hivi biashara ya kuuza kumiliki duka ni yakumpa hongera MTU kama Wema Sepetu wakati huku mtaani hata Mimi mtanzania mnyonge nisiyekuwa na fame yoyote nauwezo wa kuimiliki .
Tunasubiriii[emoji23] [emoji23]Povu la Omo na Ariel[emoji23][emoji23][emoji23]
Tulieni muone leseni ya biashara[emoji23][emoji23][emoji23]
Anauzia wapi kwasasa?maana mteja wake mkubwa alikuwa Bosi wa Madale.LIPO
Hili Duka lake bado lipo kwa mujibu wa Dada PennyNafasi yake ningekuwa Nayo mm, MTU tangu 2006 anamiliki matako ya kichina so uchawii?
Poa48😀😀😀😀haya bhana mzee mwenzangu
Boss wa madale anapaka lipstick? !Anauzia wapi kwasasa?maana mteja wake mkubwa alikuwa Bosi wa Madale.
HahahaLove yaah Wema. You are so sexy. Mmmmh yummy.......
They doooo?!Sawa na maprofesa wetu wa Changanyikeni na Makongo kumiliki vibanda vya chips,magenge,bodaboda na bajaji,then tunawapa hongera kuwa ni wajasiriamali.
Yes they do...They doooo?!
SawaYes they do...
Always negativity towards their fellow women...sijui kwa niniYaani ukitaka uchukiwe na Mtanzania piga maendeleo hasa sisi wanawake.
Hapo kwenye miaka ya Wema nakataaa..Hajachelewa
sasa anaingia miaka 30
Akifika 40 atakuwa rich woman kama ataendelea hivi
Wewe bint nakuhitaji katika maisha yangu,.Huo mtaji hauzidi mil 10. Kwa mwaka hatapata faida hata ya kulipia pango lake kwa mwaka kwa kupitia hiyo biashara. Hizi boutique watu wanatafuta pesa za ziada tu.
wabongo ni vichwa panzi wameshasahau sasa hivi wanampongeza ujingaIle kampuni yake ya the endless aliyo kuwa ameajiri Waisrael na Warussia ilikuja kufia wapi?
tawireThis time ni lake kweli????
Ile nyumba ya m400 alisema yake kumbe sio
Ile range hadi ikampa jina la madam range haikua yake
Kiss lipstick pia
kama ni lake kweli hongera zake