Hongera Mdogowangu Wema Sepetu kwa Kufungua Duka

Hongera Mdogowangu Wema Sepetu kwa Kufungua Duka

kuna wadogo zake wamefika mbali mana walianza mapema, kwa vyvyt vile ye tyr amechelewa mno.
kuna kipind nlikuwa namsikiaga kwenye mitandao lkn ckujua ana kipi kipya.
tunasema hivi
hata kama amechelewa kuanza lakini kwa fun base alokuwa nayo anaweza akarudisha hio hela ndani ya miaka 2 au mmoja
 
Kuna watu wana roho mbaya khaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Wakati hafanyi chochote alikua anasemwa haya ameona ajishughulishe bado watu wanaponda.

Roho mbaya zitatuua wanawake
Upogoo[emoji23] [emoji23] [emoji23]...

Duka la dairekita Joann hill sio lake

Nasubiri povuuuu la safari lager[emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]

Haaahaaaaa
 
Upogoo[emoji23] [emoji23] [emoji23]...

Duka la dairekita Joann hill sio lake

Nasubiri povuuuu la safari lager[emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]

Haaahaaaaa
lipi?
embu tupe risiti basi kuhakikisha ni la director joan!
 
Social media kuna watu wapo kuvunja moyo wenzao kwa namna zote..mi namuombea atulie tu na duka lake tena if possible akae nwenyewe km Hamisaa unless watamuibia
Hawezi kukaa yule dukani full kuzurura mjini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwacheni apate biashara ya kumpatia kipato maana umri unaenda na madanga wenyewe hawasomeki sio kama zamani usiku mmoja anapewa 3m!
 
Sio biashara mbaya. Nguo na vitu vya watoto vinalipa sana tena kwa mtu kama wema ataifanya biashara hiyo kwa kutumia jina lake.
Watu wanazaa kila siku so atauza tu.

Ajitume kwenye biashara yake asibweteke na uvivu wake.
 
Sio biashara mbaya. Nguo na vitu vya watoto vinalipa sana tena kwa mtu kama wema ataifanya biashara hiyo kwa kutumia jina lake.
Watu wanazaa kila siku so atauza tu.

Ajitume kwenye biashara yake asibweteke na uvivu wake.
Amen
 
Back
Top Bottom