Richh Gall
Member
- Jun 13, 2017
- 48
- 106
Bora hata wewe shoga kwenye maendeleo huna neno...
wengine ohoo kachelewa ohoo alikua wapi siku zote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ohoo haendani nalo ha ha ha mwee yaan full roho mbaya.
du nilisahau!naongelea kuanza maana wasema angekuwa kaanza mapema angekuwa mbali nakwambia alishaanza mbona.
Halafu mbona huyu mdogo wako hujamcompare na wasanii na ma celeb wa Marekani kama ambayo uliwa comparea akina Mond ukadai uwa wajiuliza wanafanya nini unashangaa mtu kuuza karanga? au comparison zako ziko biased
asanteLakini Ng'ombe hazeeki maini
LIPOLile Duka lingine lililompatia umaarufu na kick hapa mjini kalifunga?
poa tu sina neno na wewe kunizidiKumbe mi nakuzidi miaka 22!!
meona eeThough its too late but haina noma
No wonder!Kwapani
kweli kabisaBado hajachelewa kwa kuwa colonel sanders yule wa kentucky fried chickens (kfc) alipata utajiri na biashara yake kukua akiwa na miaka 60 hapo ni baada ya ku hustle vibaya mno
duNafasi yake ningekuwa Nayo mm, MTU tangu 2006 anamiliki matako ya kichina so uchawii?
Kuna kipindi yalikuwa yanataka kuanguka km ameyapachika afu mshikio umelegeadu
una risiti kuwa yale mawowowo yake ni ya kichina au?
Lete risiti tuhakikishe kusingizia mtu ni dhambiKuna kipindi yalikuwa yanataka kuanguka km ameyapachika afu mshikio umelegea
Kumbe bado binti aiseeNina miaka 48 best
Ngoja nimuulizie km bado anayo ile risitiLete risiti tuhakikishe kusingizia mtu ni dhambi
sawaNgoja nimuulizie km bado anayo ile risiti
english hatujaielewa!Pesa ya walipa kodi ndani ya jiji la darisalama. Walipa kodi ni wengi wafaidio wachache. bashit....ee financing. Ding dong... who is next?